Akili za watoto wengine bana kwa hyo hicho kimekufanya uje ufungue thread huku kwani wakati wa kuchagua kozi we ulikuwa wapi
Sasa wewe unataka kuwa Dr kama Mimi amasamahan wadau mimi nmechaguliwa udom education lakin siipend nmben ushaur wa coz zngne au namna nyngne
Karibu, UDOM kuna Coz zaid ya 90 so usihof utafanya Transfersamahan wadau mimi nmechaguliwa udom education lakin siipend nmben ushaur wa coz zngne au namna nyngne
Acha mawazo mgando nenda kwenye field utaona jinsi walimu wa udom wanavyowanyoosha watu.acha idea za kimaskini Fanya tafiti kabla ya kuongea.mm s mwalimu wa udom lakin nimeziona product zaohapana, infrustructure iko perfect lkn academics hapana. Hovyo kabisa. Hakuna elimu ya University level! Ni kwa vile huna pa kufanya comparison
Pambana na hali yako kwanza una boom sio unafungua uzi hum hata boom huna et hupend education au unafikir education easily soma ww acha utoto,,, au Kalime!!samahan wadau mimi nmechaguliwa udom education lakin siipend nmben ushaur wa coz zngne au namna nyngne
Umechaguliwa tu hukuomba!!??samahan wadau mimi nmechaguliwa udom education lakin siipend nmben ushaur wa coz zngne au namna nyngne
PoleBora umepata chuo wenzio hatujapata hapA