Habari Mtiberi
Nimeusoma Ujumbe pamoja na ushauri ulioutoa.Jambo moja ni dhahiri kwamba Kwa macho ya haraka kile kinachoendelea ndani ya CHADEMA kama Lisu kukamatwa na kushtakiwa,wafuasi wake kukamatwa kupigwa na wengine kutekwa,G55 kujitokeza ni kama CCM Na serikali yake inahusika Lakini...
Habarini wana jukwaa wa JF.
Ni wiki chache sasa Zimebaki CHADEMA waingie katika UCHAGUZI wa viongozi wao wakuu wa chama.Hii ndio tafakuri yangu.
1)Lissu anaungwa mkono na idadi kubwa ya wanachama pamoja na wengine wasio wanachama,je hii inaweza kumfanya apate ushindi katika UCHAGUZI?
2)Mbowe...
Wewe na wewe nini kimekushinda?? Mwambie kesho utamkabidhi kurasa zake 20.Harafu nenda bank ukakope pesa nunua gari siku unamkabidhi more bank statement ya mkopo na umwambie kuanzia leo ni mwendo wa utokwenda saloon na ugali maharage mpaka mkopo uishe miaka sita.
Ndugu Wana jukwaa wasalaam!!
Nimechungulia mtandao wa X almaarufu Twitter nimekutana na bandiko la BUYOBE akieleza tukio la Kijana raia wa Msumbiji kuhamia Afrika Kusini na kuwa kibarua mtiifu kwa Serikali ya makaburu kabla hajageuka na kuungana na wazalendo wenzake weusi kupigania haki zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.