Recent content by MBEGU YA BINADAMU

  1. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

    Mlalamikaji baada ya kutendewa kosa inatakiwa yy mwenyewe aende polisi kutoa taarifa na siyo kuitwa kwa wito kwenda polisi.
  2. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Nilimpigia simu Rais Samia siku mbili baada ya kuapishwa kwake, bado nasubiri majibu

    Kwa hiyo tundu ni msomi mzuri wa uchumi! Hii kiumbe inajimwambafai sana.
  3. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Nimepata vipele kwenye ulimi baada ya kuzama chumvini kwa mke wangu

    Hata mimi huyo mkeo alinisababishia hilo tatizo!! Tujichange tumpeleke hospitali mkuu.
  4. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Mashujaa wa kweli Tanzania hawakumuogopa Hayati Dkt. Magufuli

    Tundu Lissu ni kichaa. Maria Salungi na Fatuma Kalume ni mapapalazi wa CCM.
  5. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bagamoyo ulitakiwa uanze kabla ya Bwawa la Nyerere, Rais Samia umetuheshimisha

    Juzi mama aliongea na rais wa China kwa simu ya kiganjani. Leo mama kasema bandari inajengwa............??????!!!!!!!!##
  6. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Msimamo wa Bunge ni upi kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo?

    Bunge lenyeww ni hili linaloongozwa na Ndugai!! Ndugai ni Bendela fata upepo hana msimamo hata kidogo. Kumbuka alisema ana faili Milembe
  7. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bagamoyo ulitakiwa uanze kabla ya Bwawa la Nyerere, Rais Samia umetuheshimisha

    Hili jambo mnalishabikia kwa sababu zenu mnazozijua nyie. Umeme ndiyo msingi mkuu wa maendelea kwa nchi yoyote. Jenga bandari kila kona ya nchi kama huna umeme wa uhakika bandari zako ni bure. Umeme wa uhakika ndiyo chanzo kikuu cha wawekezaji kuwekeza katika nchi yoyote.
  8. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania TANZIA Fr. Privatus Karugendo amefariki dunia

    3rd seasson imeanza na mtumishi wa Mungu!! RIP father.
  9. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Dar: Mkuu wa Mkoa awataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa CORONA

    Mbona nchi wanazovaa barakoa ndiyo watu wake wanakufa kwa maelfu? Nyungu ndiyo suruhusho wa hili janga. Isingekuwa nyungu mimi tayari ningekuimbiwa nyimbo za kuniaga.
  10. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Mishahara kuchelewa, kipimo kingine cha uwezo wa Rais Samia

    Hapana. Mwanzo wa mwaka (July) ndiyo mishahara huchelewa. Ambavyo kwa Jiwe hii pia haikujitokeza.
  11. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Mishahara kuchelewa, kipimo kingine cha uwezo wa Rais Samia

    Siku 100 za uongozi wake mshahara umechewa kwa siku 4. Kwa mahesabu ya haraka haraka siku zilizosalia katika uongozi wake ni zaidi ya siku 1200. Hivyo kwa watu wangu wa hesabu watapata jibu kwamba hadi anahitimisha uongozi wake watumishi watakuwa wamechelewa kuchukua mshahara kwa siku ngapi.
  12. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aachane na mtindo wa kuhutubia njiani; hauna tija na ni hatari kwa usalama wake

    Huwezi kufanya maandalizi ya kugombea UJPM 2025 bila kuwa na tabia za JPM. Nadhani umeelewa
  13. MBEGU YA BINADAMU

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Sakata la Catherine Magige, Bunge letu limeonesha udhaifu

    Hujui kama viti maalum nao wanapiga kampeni!! CDM vichwani wamejaza oil chafu.
Back
Top Bottom