Mishahara kuchelewa, kipimo kingine cha uwezo wa Rais Samia

Natarajia kilio nchi nzima mishahara kutobadilika mwezi huu, yangu macho na masikio kuhusu madaraja mapya. Kwn mpk sasa waliopata wanasema kitu ni kile kile.
Wengine tumepanda mkuu, kazi ya kukagua ,kuingiza taarifa na kuandaa barua nilihusika vizuri sana tena weekend nashukuru sijakosekana katika waliopanda . Wale wanaoponda watumishi kutegemea salary wao mambo safi sana acha sisi tuendelee kufaidi matunda kupitia salary
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Siku 100 za uongozi wake mshahara umechewa kwa siku 4. Kwa mahesabu ya haraka haraka siku zilizosalia katika uongozi wake ni zaidi ya siku 1200. Hivyo kwa watu wangu wa hesabu watapata jibu kwamba hadi anahitimisha uongozi wake watumishi watakuwa wamechelewa kuchukua mshahara kwa siku ngapi.
 
Bado mapema mkuu suburi hadi tarehe 26 ndio uongee
TAREHE ZA MSHAHARA KUWA 24 NI UPUUZI NA ILLUSIONS TU,MSHAHARA UNATAKIWA ULIPWE TAREHE 28/29 SEREKALINI,NA TAREHE 30 KWA SEKTA BINAFSI.(mshahara utalipwa kila baada ya ya siku 28) hili lipo kisheria yule aliyekuwa anajifinya kulipa alikuwa amekufanyeni wajinga wa kutupa.
 
TAREHE ZA MSHAHARA KUWA 24 NI UPUUZI NA ILLUSIONS TU,MSHAHARA UNATAKIWA ULIPWE TAREHE 28/29 SEREKALINI,NA TAREHE 30 KWA SEKTA BINAFSI.(mshahara utalipwa kila baada ya ya siku 28) hili lipo kisheria yule aliyekuwa anajifinya kulipa alikuwa amekufanyeni wajinga wa kutupa.
Aisee!
 
TAREHE ZA MSHAHARA KUWA 24 NI UPUUZI NA ILLUSIONS TU,MSHAHARA UNATAKIWA ULIPWE TAREHE 28/29 SEREKALINI,NA TAREHE 30 KWA SEKTA BINAFSI.(mshahara utalipwa kila baada ya ya siku 28) hili lipo kisheria yule aliyekuwa anajifinya kulipa alikuwa amekufanyeni wajinga wa kutupa.
Si kweli, huna unalolijua zaidi ya kukaririshwa mambo ya aibu na ccm
 
Napita tu jamani.... John alikuwa anatoa 22. Na wastaafu 24..... tusubiri huu mwisho wa mwaka wa serekali.
 
Watumishi wa umma mpo laki 4 na point... Watanzania wasio watumishi Wa umma ni zaidi ya milioni 55.

Mnalalamikia mshahara kuchelewa.nusu ya makusanyo ya mapato ya taifa hili kila mwezi yanatumika kulipa kikundi kidogo sana kinachoitwa watumishi WA umma.
Nusu ya keki ya taifa inayobaki baada ya kulipa mishahara ndio ijenge barabara, miradi ya Maji, reli, ununuzi WA dawa nk wakati huduma hizo tunashare equally.

Wafanyakazi WA umma mtambue ninyi ni sehemu ya jamii maskini.hiki kidogo tushee wote.sio salary kuchelewa kdg mmeanza kubweka
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Kichaa katika ubora wake ,akili yako ni ndigo kuliko mbwa wangu
 
Si kweli, huna unalolijua zaidi ya kukaririshwa mambo ya aibu na ccm
Si kweli, huna unalolijua zaidi ya kukaririshwa mambo ya aibu na ccm
OK,basi tugeuze mambo mwanzo wa mwezi uwe ni tarehe 15,ili MSHAHARA ulipwe tarehe 13/14 ya mwezi unaofuata!@#$%&, Yule jamaa aliwahadaa sana wasiokuwa wamemwelewa,na kwa bahati aliwapata wajinga kwa kiasi kikubwa kweli.
 
Acha utoto wewe! JPM aliweka standard ya namna ya kuongoza serikali kwa viwango. Uzembe wa aina yoyote hautavumiliwa.
Ninyi ndio wale watumishi chapombe, hapo salary advance ushachukua na ulipo arosto ya pombe imepanda na huna altenative.

Mshahara ukichelewa hata siku moja kelele kibao🤣
 
24 unalalamika? kuna taasisi qamezoea kupitishwa hadi tarehe 2.

lakin kama pia unaona ni ishu. tafuta biashara kuliko kukaa unasubiria mshahara wa serikal.. halad ulichelewa unalalamika.
boss hanuniwi
sasa wote watafanya biashara na nani atakuwa mnunuzi.ni nchi gani raia wake wote wanafanya biashara au hujui maana ya division of labour maana yake ni nini.
 
Back
Top Bottom