Mheshimiwa wa habari hawezi kumsaliti kijana wa call me j kwa sababu yeye ndo alimfanya kijana akafahamika kwa marehemu six na ndo kama nyota yake ilianzia hapo. hivyo haitatokea mh akawa kinyume na kijana wake tegemeeni mchezo wa kuigiza
kijana wa call me j alishasema safari yake yote ya kufahamika ilisababishwa na mheshimiwa mpya wa habari pale walipokutana akampeleka kwa marahemu six .hivyo vyombe vya habari vitalazimishwa tu kuandika habari zake subiri muda utasema, maana yeye ni mtu wake pengine yeye ndo kapendekeza kwa...
uongo rafiki wakaati wanatoka hewani zilikuwa milion kumi na saba kwenye mtandao achilia mbali zilizokuwa zimeshawasilishwa cash ukumbini millioni thelasini . Pole kwa uongo na leo wametangaza zimefika millioni 80
ndg punguza mhemuko mbona na mimi nilikuwepo hao watu wamejiunga saa ngapi wakati hata mgombea urais amesahau kuwatambulisha madiwani na kuwaombea kura jitathmini mambo yenu mwaka huu si mazuri
kuigiza kuwa wewe ni kawa haisaidii kubadili walichokwisha amua watu maana kinachotakiwa ni mabadiliko waliohudhuria jana ni sehemu ndogo sana ya wapiga kura wote
ulichosema ni kweli hata wakati anapigwa na makonda rais alitamka kule mwanza akiwa gold crest kwamba wazee wengine wanajitakia kupigwa. na kule bungeni hata wale wa darasa la saba B walimtukana
wanajamvi jana mzee warioba alionekana pale jangwani akitetea CCM MASWALI YA KUJIULIZA JE?
1.ccm hao ndo waliomtuma makonda akampiga warioba pale ubungo
2.mh rais alishabikia kitendo hicho alipokuwa mwanza anaongea na awatu wa anti corruption eti wazee wengine wanajitakia kupigwa wenyewe
3.mzee...
ndg kama kauli ya Rais ndo ikisema inakuwa ni mara ngapi amesema na haikuwa alisema tutapata katiba kabla hajaondoka madarakani , hatujaiona alisema tutapiga kura za maoni mwezi april leo ni mwezi wa nane mbona haijawa. nadhani unatawaliwa na mapenzi badala ya uhalisia
nakuunga mkono mtatiro hawa wazee walifikiri lowasa hawezi kuhama hivyo wanahofia akipata urais nje ya ccm atawaumbua na madudu yao . najua watanzania sasa wanelewa hivyo najua watafanya kweli kwenye saduku la kura .CCM waache mbinu zao za kulazimisha ushindi
kila kitu na wakati wake ccm inabidi wajue kwamba muda wao wa kutawala umefikia mwisho ni sawa na mwanamke ajaribu kumrudisha tumboni mtoto aliye tayari kutoka haiwezekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.