Mm n mgalatia Ila sijawahi jisikia vibaya kuitwa kafir huwa nashangaa mtu akiweweseka kuitwa kafir na siumii maana Dini n kitu ambacho sikipi uzito maishan
Huwa sielewi logic ya kuwa na picha za uchi sema tunatofautiana Ila binafsi stipend kuhifadhi vitu vingi kwenye iwe Siri au nn so nipo clean hata magroup sina labda Kama n muhimu nipo huru hata nisipo weka lock hakuna kitu Cha hovyo mtu ataona ,watu wanajisahau sana
Umenifumbua macho Asante kwa maelezo yako Ila Nina swali pamoja na hayo yote ,ya kufuata utaritibu je Kuna uhusiano gan na kumtesa mtu kisa hajafuata protocol ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.