Nawasalimu wana jf? Mimi bwana nimeanza kutumia hii huduma ya dstv mobile ya vodacom, na huduma hii walivyotangulia kutangaza, walisema huduma hii ni bure, lakini cha ajabu ninapotazama channel zile walizoanisha, nikiangalia salio nakuta imefyekwa' duu! Nilipojaribu kuwapia nakuwaleza tatizo...