Recent content by mbatizaji kenzeva

  1. mbatizaji kenzeva

    Wamiliki wa lodge kuweni serious

    Upo sahihi mkuu,umesahau na mikoa yenye baridi blanket zinanuka
  2. mbatizaji kenzeva

    Quran yachomwa moto Sweden

    Ivi hiyo inaitwa qulan inauzwa bei gani itakuwa haipungui bei mil 50 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. mbatizaji kenzeva

    Match fixing,TAKUKURU wachunguzeni Yanga

    Kwahiyo simba ni maskini wa kutupwa yanga ni matajili maana mnalalamika kijinga na kitoto
  4. mbatizaji kenzeva

    Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

    Bandali ya bagamoyo peke yake itazaa ideni tilion 25 mpaka 2030 mama atakuwa na den 50 tilion
  5. mbatizaji kenzeva

    Usinunue kiwanja Temeke au Mbagala kama wewe hupendi uswahili, utajuta!

    Upo sahihi mkuu mimi nimejenga mbande kisewe majirani zangu wamezunguka hali zao nimbaya sana kiuchumi basi shida zao wanakimbilia kwangu yaani najuta sehemu ya Walala hoi kama unauwezo upo hatarini unachunguzwa sana maisha yako
  6. mbatizaji kenzeva

    Nawaonya Yanga SC mapema kuhusu kujidanganya kuwafunga Club Africaine katika CAFCC 'Knockout Stage' kwa Mkapa

    Huyu mpuuzi mtoa mada Yuko wapi na wajinga wenzie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. mbatizaji kenzeva

    CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

    Sasa wewe nalichadema lako mambo ya ccm yanakuhusu kivipi
Back
Top Bottom