Njo PM tuongee hizo ndo kazi zetu kufanyia watu consultation kwenye eneo la pharmaceutical, kwa wanaohitaji kufungua pharmacy,kusajili dawa, vifaa tiba, vipodozi, supplements tukusaidie.
Nimeona pia stand ya buguruni chama hali hio, wakati naendelea kujiuliza kulikoni likapita gari la kuzoa taka.
Bila shaka wilaya ya Ilala wanazoa taka leo.
Latra walishatangaza muda mrefu hiyo route kutoka Mbezi kwenda Mnazi kupitia barabara ya Morogoro na wakati wa kurudi zinapitia Morocco Mwenge kupitia Ally Hassan Mwinyi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.