Mimi ni mkazi wa segerea na mpiga kura na segerea na segerea yetu tunaijua wana segera msituwekee maneo mdomoni madiwani na mbunge wa segera na kura za uraisi kwa taarfa yako ni chadema uliza watu kumi kama sio wote wanaunga mkono chadema basi tisa au nane na sio chini ya hapo na leo ndio watu...
Ww ndugai kasema kauli ya waziri haijadiliwi kwa hiyo wabunge wa upinzani wangejadili vp kauli ya mzee tff wakati ndugai kasema haijadiliwi fuatilia kwanza vitu ndo uje hapa na kutoa maelezo yako
chambulio wewe ni mwongo Sana ccm haina chake hapa Shy, Solwa, kiahapu na kahama hizo habari umetoa wp usiudaganye Umma wa jf ccm haina chake mkoa mzima wa Shy au na habari za ushetu na msalala huna Kule Kule ndo kabisa ccm kufikisha angalau kura Mia ni muujiza
naunga mikono nipo Shy kila Kona ni lowasa ama kwel UKAWA kupitia Chadema mmelamba dume nasema kwel bora makufuli kujitoa Kayla ya October 25 kuepuka aibu itakayompata angalizo maombi ya kujitoa kwa kufunga kwa kumlilia Mungu ampe lowasa ulinzi wa kimbingu yanahitajika Sana kwann lowasa Ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.