It's sound's crazy!some say's that we've got to fight for our freedom, yes,its sounds crazy cause we got our freedom late 1961,so compere ring your fate with some of African freedom fighter is not wise.
If your wise enough you should look back at your own eye before looking at your neighbor.
You...
Hayo ni mawazo chakavu kwa watu wachovu mnaodhani mnajua kumbe ni majuha.Sikuzote mpumbavu hajui thamani ya almasi iliyopo mikononi mwake bali goroli iliyopo kwamwenzie.kamwe usifananishe usiku na mchana.Tanzania haiwezi kuwekwa daranja moja na hizo nchi unazotaja.poleni!
Cha ajabu ni nini?kwani nani kati yetu hachepuki?tofauti iliyopo ni kwahuyo mdada kusema ukweli.mwambie asirudie tena kuwa mkweli kwani kunamsemo unaosema ukweli unauma mno.
Hakika Agustino umemshauri ipasavyo ndg kakobe,yampasa ajue kuwa kumshambulia Rais wa nchi nikurusha jiwe kwenye kundi la nyuki.Urais.ni taasisi,rais hajajiweka pale kama alivyojiweka yeye nakujiita askof,Rais amewekwa pale na Watanzania hivyo ajue kuwa matamshi yake yamewaudhi watu wa Mungu...
Niaje DAWASCO Ubungo?
Wakati taifa linasonga mbele kwa kauli ya #HapaKaziTu, ninyi mnafungua milango saa mbili lakini huduma zinaanza saa nne. Kama ni chai mywege kwenu!
Tabia za kuwawakusanya wateja hadi saa nne kwa visingizio vya chai, kusoma magazeti au vikao mnatukera mno.
Pole sana mrs Lisu,kama mke unawajibu wakujisikia vibaya maana huyo ndiye ubavu wako.mama naguswa sana na dhamira yako yakutaka kumjua mhalifu aliyepanga nahatimaye kutekeleza unyama huo.
Waswahili walisema kuwa kikulacho sikuzote kipo nguoni mwako.usemi huo unadhibitishwa kwenye biblia...
Mr Meningitis,yaani umesema yote lakini kuna watu wanaakili za kishikiwa,hata usema nini wao hawatofautishi kati ya maziwa na maji.haiwezekani ukaita sumu ikiwa kwangu na ikija kwako unaita dawa.Mbowe na uchaga ndiyo tatizo kwa chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.