Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,096
- 122,458
Sababu kiuhalisia swala kama hilo sio la kusema uanze kujifikiria kutoa maamuzi yaani maamuzi yake yanakujaga papo hapo.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
yani nyuzi zingine nizakupita kimya kimya walah,... Hawa watt wanasumbua sana humu siku hizi...aahg
Ila kama ni kweli huwa kuna wanawake vichwa maji aiseee yaani anajifumanisha mwenyewe. Hahahaaa.
