Ukwel kwenye mapenzi

Ukwel kwenye mapenzi

yani nyuzi zingine nizakupita kimya kimya walah,... Hawa watt wanasumbua sana humu siku hizi...aahg
Sababu kiuhalisia swala kama hilo sio la kusema uanze kujifikiria kutoa maamuzi yaani maamuzi yake yanakujaga papo hapo.

Ila kama ni kweli huwa kuna wanawake vichwa maji aiseee yaani anajifumanisha mwenyewe. Hahahaaa.
 
Sababu kiuhalisia swala kama hilo sio la kusema uanze kujifikiria kutoa maamuzi yaani maamuzi yake yanakujaga papo hapo.

Ila kama ni kweli huwa kuna wanawake vichwa maji aiseee yaani anajifumanisha mwenyewe. Hahahaaa.
Hahahhahaa anataka amuoneshe bebi wake kuwa nayy anatongozwa nje,asidhani yy tuu ndio kamuweza,..nyoo hajakomaa huyo kiakili na kimwili
 
We na huyo mpenzi wako wote ni watoto hamjakua bado yaani kwa raha kabisa unakuja kuanzisha uzi kama huu as if alichokifanya kimekusuuza moyo wako.

Fanya kile ambacho moyo wako unataka.
Busara zako zinanikuna sana bibie,namimi nina maumivu yakuachwa na mpenzi wangu niliyemsomesha mpaka masters.....naomba uje pm unishauri haha
 
Cha ajabu ni nini?kwani nani kati yetu hachepuki?tofauti iliyopo ni kwahuyo mdada kusema ukweli.mwambie asirudie tena kuwa mkweli kwani kunamsemo unaosema ukweli unauma mno.
 
Busara zako zinanikuna sana bibie,namimi nina maumivu yakuachwa na mpenzi wangu niliyemsomesha mpaka masters.....naomba uje pm unishauri haha
Hahahaaaa. Umenikumbusha ule uzi duuh. Tumeshajanjaruka sasa na sie.

Mkitaka ushauri anzisheni uzi tutawashauri na sio kuja huko kwa Prime Minister.

 
Hahahaaaa. Umenikumbusha ule uzi duuh. Tumeshajanjaruka sasa na sie.

Mkitaka ushauri anzisheni uzi tutawashauri na sio kuja huko kwa Prime Minister.

asa tutakula wapi au ndo ishakula kwetu
 
Back
Top Bottom