Sheria na kanuni za dini yetu jamani mwanamke haruhusiwi kwenda kuaga maiti naomba ieleweke hivo na kaka wewe unaedai kuwa tunashikiria ukale bado hujatambua hata theluthi moja ya ubora wa dini ya Kiislamu
Kama inawezekana nenda bodi ya mikopo makao makuu yao yapo mwenge dsm uwaeleze ukweli ulioambatana na nyaraka km zile za kuhama chuo na kuelekea udom nadhani watakuelewa, inshallah Mungu akutangulie na uweze kufanikisha ili badae usome kwa juhudi na maarifa na uweze kuikomboa familia yenu
KWAHERI SAMWELI SITTA
Written by
RAMADHAN MBANGA UDSM(MC). Mwaka robaini mbili,
Ulizaliwa shujaa,
Ukawa ni muhimili,
Tabora na Tanzania,
Novemba saba Kweli,
Ikawa Chungu Tanzia,
*_Kwaheri Samwel Sitta_*
*_Utakumbukwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.