Recent content by mban

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooo Mkuranga nije kibaha mji idara secondari
  2. M

    Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

    Amejaa tele mkimani city sasahivi kwenye graduu ya UDSM
  3. M

    Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

    Ni mkuu wa chuo ndiye anayetunuju amejaa tele mkimani city sasahivi
  4. M

    Kupatikana kwa Loss Report Mtandaoni: Kongole sana Jeshi la Polisi

    Kaka huna kitambulisho taifa ndo utaenda kukonfirm Kama unacho unamaliza mwenyewe tu kwa vitu vidogo Kama vitambulishi
  5. M

    Kupatikana kwa Loss Report Mtandaoni: Kongole sana Jeshi la Polisi

    Si kweli labda Kama kunavitu vingine...mm niliwahi kupoteza bima ya afya ya mtoto wangu nilifanya kilakitu nyumbani kwangu nikaingiza namba zangu za KITAMBUISHO Cha taifa nikalipia 500 nikaprint nikaenda bima kuomba kadi nyingine Wala uko polisi sikukanyaga
  6. M

    Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

    Leo kunagraduu UDSM pale watu so wakaakikishe Kama mzee ni mzima wa afya au vipi
  7. M

    Kurudi kwa UDA (daladala) hii maana yake nini?

    Mbagala kwenda Ubungo yalikuwepo muda wote...
  8. M

    Mwenye ushuhuda malipo ya 27,000 umeme mikoani

    Hii ni kwa mijini maana ata Kibaha mjini Bei ni laki tatu na ishirini lakini kibaha vijijini ni 27000 tu itazidi kidogo Kama nguzo ipo mbali
  9. M

    Mwenye ushuhuda malipo ya 27,000 umeme mikoani

    Mlandizi sisi tunewekewa mwaka Jana tu kwa Bei hiyo
  10. M

    Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

    Rushwa ilikuwa kubwa sana yani ..kuzuia uhamisho wa watumishi tu kulitengeneza rushwa kubwa sana paleTAMISEMI
  11. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Sawa nakusema mradi wa ujenzi wa uwanja wa taifa ulikuwa wa Jk wakati aliukuta
  12. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Tazara flyover si wa Magufuli yeye alimalizia tu
  13. M

    Nguvu ya matajiri itakapoanza kuchukua nafasi yake, kilio cha wanyonge kumlilia Dkt. Magufuli itazidi kusikika na wa kuwazuia hatakuwepo

    Yalikua ni mambo ya tekinolojia tu lakini kulipa kwa wakati mmoja ilianza kipindi Cha mwisho mwisho wa Jk kwa JPM kulikuja kuboresha tu
Back
Top Bottom