Si kweli labda Kama kunavitu vingine...mm niliwahi kupoteza bima ya afya ya mtoto wangu nilifanya kilakitu nyumbani kwangu nikaingiza namba zangu za KITAMBUISHO Cha taifa nikalipia 500 nikaprint nikaenda bima kuomba kadi nyingine Wala uko polisi sikukanyaga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.