Jaman habari za asubuh,nahitaji msaada wenu wa mawazo nimekosea kutoa pesa kwa wakala nikawapigia voda baada ya maongezi wakanambia ile ela imetolewa kwny namba ya huyo wakala niliokosea kwa msaada zaidi niende police na nimefika police wananambia hili swala mbona vodacom wanaweza limaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.