Binafsi nimeifahamu jamii forum tokea mwaka 2012 kipindi hicho nilikuwa advance....niliifahamu kupitia mjomba wangu ambae nilikuwa nikimuona akiifuatilia sana,kipindi hicho niliona kitu cha ajabu sna SBB niliona kama alikuwa akipoteza muda mwingi...
Miaka minne baadae baada ya kuwa na uwezo wa...
Duu...maisha hayaeleweki kabisa,binafsi nilitamani niwe dokta mara gafla nikajikuta nasomea ualimu...duh hata ualimu wenyewe sijaupata nipo tu nazurula mwishowe nimejikuta nauuza duka...lakini nashkuru mungu maisha yanaenda poa...
Sent using Jamii Forums mobile app
(1)mke wako amekuchulia poa sna ...wewe ni baba lazima uwe chuma ktk familia kuwa hata mkali sna anapoonesha vitabia vya kipumbavu.
( 2)mkalishe chini mwelekeze jinsi upendezewi na tabia zake za kujinunisha.
(3)fikilia kugawana mali uachane kama hatokuwa tayari kubadika kitabia....lasiivyo...
Poleni namajukumu ya Pasaka! Sambamba na hilo nichukue fursa hii kuwakumbusha ndugu zangu kuchukua tahadhali juu ya virusi hatari vya COVID19.
Wakuu jana katika pitapita zangu nilienda kwenye baa moja baada ya kupata mbili tatu nikajikuta nashawishika kucheza liko dude moja hivi humo...
Epuka misongamano isiyo ya lazima.
Osha mikono yako kwa maji tiririka kila unapomaliza kugusa vitu mbalimabali.
Vaa barakoa,
TAHADHALI,COVID19INAUWA...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.