Recent content by mbalawe

  1. M

    Mambo ya kushangaza kuhusu kujamba

    Mara nyingi nilimsikia baba akijamba, tena kama mafler ys gari iliyo pasuka 😀 lakini sijawahi kumsikia mama akijamba! Kunani?? Wahenga nipeni ilimu!
  2. M

    Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

    Cheo chake ni kikubwa kuliko huo ubunge!
  3. M

    Pantsir-SM | Mfumo mpya wa ulinzi wa anga kuzinduliwa nchini Urusi

    Hamvai barajoa?!😲 Corona njoo wako huku 😀😀😀
  4. M

    Nelson Mandela ni msaliti wa harakati za Uhuru wa Afrika Kusini na Afrika kiujumla?

    ww upo kamanda👊Yafanye hayo Aliyoshindwa Mandela bro! Yeye uwezo wake umeishia hapo!
  5. M

    Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

    Tusisahau tulipo shindana kuvaa Pekosi, laizoni, kaptula na stoking, kuchana na kuweka way... Wenzetu siku hizi wananyoa kama kichwa cha jogoo, na kuvaa kata K! kweli kila zama na ujinga wake 😀😀😀
  6. M

    Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

    kumbe jibu kumbe jibu unalo babu! Unisamehe kama nimekujibu ndivyo sivyo!
  7. M

    Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

    Tulitoka shimoni kivipi?? Kwani hujui kila zama na ujinga wake??
  8. M

    Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

    Nani anakumbuka bei ya shati gosage, shikibo?!
  9. M

    Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

    nakumbuka gari ya jeshi 109 land rover fixed for radio ilikuwa Tsh.58000 na kuna maandishi yaliyo andikwa mbele ya dereva kumsisitiza Aitunze!
Back
Top Bottom