Recent content by mbako

  1. mbako

    Miradi mikubwa ya Rais Magufuli - Kama flyover, SGR na salender bridge

    Merekebisho hayana maana Sana maana kikubwa ni kuelewa maada... Mchango wako umepokelewa
  2. mbako

    Miradi mikubwa ya Rais Magufuli - Kama flyover, SGR na salender bridge

    Nianze kwa kuwasalimu wakuu wote wa JF itifaki ikizingatiwa. Bila kupoteza wakati nije na hoja moja hapa kuhusu ajira zinazotengenezwa na miradi hii mikubwa... 1. Nimefanya utafiti kidogo kuhusu takwimu wanazotoa kuhusu ajira za wazawa lakini nimegundua asilimia 95 ya waajiliwa wengi wanakuwa...
  3. mbako

    Jezi za Taifa Stars zimeangalia maslahi ya Yanga

    Bashite katia mkosi tu apo hana analoweza zaidi ya kulia lia na kulilia magari ya watu
  4. mbako

    Jezi za Taifa Stars zimeangalia maslahi ya Yanga

    Mkuu uishi milele
  5. mbako

    Jezi za Taifa Stars zimeangalia maslahi ya Yanga

    Acha u se nge
  6. mbako

    Kauli ya waziri wa mambo ya nje, Ndugu Palamagamba Kabudi ni ya kijasiri na ya kupongezwa

    Nimekusoma mkuu wacha tupambane na hali zetu Huyu mbuzi wa bwanaheri kwenye shamba la bwanaheri anatuumiza vichwa bure
  7. mbako

    Kauli ya waziri wa mambo ya nje, Ndugu Palamagamba Kabudi ni ya kijasiri na ya kupongezwa

    Shida moja kubwa mnasema mnalipambania taifa wakati Kabashite kanakula bata Kwa hela za uizi... Mkitaka tuwaunge mkono na tuone mna nia njema tubadilishe katiba tuweke usawa wa sheria na kila mtu afanye kazi hiyo nitawaunga mkono bila Hiana.
  8. mbako

    Mfalme wa Morocco anawakaribisha Iftar

    Naona wamemuedit tu mfalme hawezi kula peke yake ivo huo ni wivu tu
  9. mbako

    Heri ya Siku ya Wanawake 2019 kutoka JamiiForums

    Happy women's day kwenu warembo wa JF Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mbako

    Zitto Kabwe: Tamko la jana la Serikali ya Tanzania na Barrick Gold lililenga kupoza bei ya Dola, lakini soko limegoma...

    Kichaa atatuaibisha uko nje Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mbako

    Zitto Kabwe: Tamko la jana la Serikali ya Tanzania na Barrick Gold lililenga kupoza bei ya Dola, lakini soko limegoma...

    Kuna Watu mnakaza Sana ubongo ebu elewa kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mbako

    Swali la kufikirisha: Rais Magufuli, lifikirie hili kwa makini: unawawekaje watu ndani mwaka 1 hadi miaka 3, na kesi bado inachunguzwa!!

    Utawala ni wa kitambo tu lakini haki hudumu hata milele naamini umeeleweka mkuu atalifanyia kazi kwa kuijali nchi wala sio hisia binafsi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mbako

    Swali: Je Magufuli akitoka madarakani ndo suluhu ya haya ?

    Maisha Yetu watanzania hayana mwelekeo iyo ndio shida kubwa: Nchi haindeshwi kwa kauli Za majukwaani bali kwa mipango iliyowekwa, sasa Rais kukataa kutengeneza katiba mpya inaleta ukakasi Sana. Me mtazamo wangu ni kuwa ili tutoke hapa tulipo tunahitaji kupata Dira ya nchi Pamoja na katiba Moya...
  14. mbako

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Balozi Alphayo Kidata, amwondolea hadhi ya Ubalozi!

    Mzee baba Kichwa imepata moto wacha ajikanyage
Back
Top Bottom