Kauli ya waziri wa mambo ya nje, Ndugu Palamagamba Kabudi ni ya kijasiri na ya kupongezwa

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Nianze kwa kutofautiana na wale wanaopinga Kauli ya ndugu Palamagamba Kabudi, alioitoa bungeni, akihitimisha hoja ya wizara ilio chini yake ,(wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki) .
Mimi naikubali Sana tu kauli hiyo.

Kiukweli Kabudi kawa mkweli, na jumuiya ya kimataifa imesikia msimamo wa serikali ya awamu ya tano . bila kupepesa

Watanzania tuache woga wa kunyimwa misaada kisa kusema ukweli. Tuwaite Mabeberu au wema kiasi gani, wenyewe wapo kimaslahi zaidi, na si vinginevyo."they don't care the word Beberu "

Trump alituita waafrika shitholes baadhi yetu mlifurahi Sana, kwanini iwe nongwa Kabudi kuwaita Mabeberu? ,hilo jina ni size yao kabisa.

Kuhusu misaada ,nchi hii tumepata misaada mingi lakini tumeendelea kua maskini wa kutupwa, pamoja na utajiri wa raslimali nyingi tulizonazo chini ya ardhi.

Ndugu watanzania, misaada haitatuletea maendeleo, maendeleo tutayapata kwa kufanya kazi kwa bidii katika uzalishaji mali,na kutokomeza rushwa na urasimu maeneo yote yanayohusu maendeleo yetu.

Lazima tusimame Kulinda utu wetu , dhidi ya hila zozote zile dhidi ya taifa letu .
Mgawanyiko wowote ule ni kuwapa fursa na mwanya wa kutuyumbisha ,eventually kutusambaratisha.

Narudia tena kauli ya Palamagamba Kabudi, Mabeberu hawana nia njema na taifa linaloelekea kujikomboa kiuchumi, kwani, uchumi mzuri hukufanya uwe huru dhidi ya mashariti yoyote hasi. Na ikumbukwe mashariti hasi yanazitesa nchi nyingi sana zinazojaribu kujikwamua kiuchumi.

Tujiulize, China, Veatinum, Malasia,Indonesia zimeendelea kwa kupewa misaada?, jibu hapana,ni kwa kufanya kazi kwa bidii huku wakijinyima.hatimaye sasa ni nchi za kupigiwa mfano. Watanzania tulichokua tunakosa ni uadilifu wa watumishi tuliowapa dhamana ya kutuwakilisha.

Rais Magufuli kaonyesha njia, ni jukumu letu sote kuungana nae kuijenga nchi.

Tulichokua watanzania tunakosa ni kiongozi jasiri wa kusimamia raslimali zetu. Leo kapatikana tunamkatisha tamaa na kumzodoa, mbaya Sana.

Lazima tubadili mindset zetu na tukiri ya kwamba tunaweza.

Lingine, Rais Magufuli hajafukuza wawekezaji wa kweli nchi hii, Kama baadhi yetu tunavyofikiri na kuaminishwa ,

Alichokifanya ni kuitoa Tanzania katika jina la shamba la bibi na kuifanya nchi inufaike na raslimali zake .huu ni msamiati mpya Tanzania, kwa slogan yake ya hamsini kwa hamsini. Umekua mwiba kwa makampuni ya kitapeli.

Hata hivyo Rais Magufuli amekua akitoa ruhusa kwa wawekezaji Kama wanaona kuna urasmi kwa wasaidizi wake, wamuone yeye Moja, kwa moja,,hii ni kuonyesha nia yake njema kwa nchi na wawekezaji pia.

Wanaojifanya mazingira magumu ni wale ambao walikua wakizoa tena bila mitaji yoyote ile,kisha kwenda zao, sasa kawabana, kilio chao kimebakia eti mazingira magumu.

Vijana nawahusia tena muda mnaoutumia kutukana mitandaoni na kulalamika, mwaka, miaka, mngeutumia kubuni mbinu za kujikomboa kiuchumi taifa lingekua mbali Sana, kwani serikali iko tayari kusaidiana nanyi katika kuiletea nchi maendeleo .

Matokeo yake mmebobea kwenye lawama na matusi. haya tuendelee na matusi na kulalamika Kama yataleta maendeleo.
 
Shida moja kubwa mnasema mnalipambania taifa wakati Kabashite kanakula bata Kwa hela za uizi... Mkitaka tuwaunge mkono na tuone mna nia njema tubadilishe katiba tuweke usawa wa sheria na kila mtu afanye kazi hiyo nitawaunga mkono bila Hiana.
 
Shida moja kubwa mnasema mnalipambania taifa wakati Kabashite kanakula bata Kwa hela za uizi... Mkitaka tuwaunge mkono na tuone mna nia njema tubadilishe katiba tuweke usawa wa sheria na kila mtu afanye kazi hiyo nitawaunga mkono bila Hiana.
Mkuu huyu jamaa anakula bata sijawahi ona, ofisi ya RAS haina budget inategemea OC, lakini cheki matanuzi yake na hafla anazoandaa pamoja na zawadi za mamilioni ya pesa anayotoa, anatoa wapi pesa? Mshahara wake wa miaka5 kwa pamoja hautoshi kufanya haya
 
Nianze kwa kutofautiana na wale wanaopinga Kauli ya ndugu Palamagamba Kabudi, alioitoa bungeni, akihitimisha hoja ya wizara ilio chini yake ,(wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki) .
Mimi naikubali Sana tu kauli hiyo.

Kiukweli Kabudi kawa mkweli, na jumuiya ya kimataifa imesikia msimamo wa serikali ya awamu ya tano . bila kupepesa

Watanzania tuache woga wa kunyimwa misaada kisa kusema ukweli. Tuwaite Mabeberu au wema kiasi gani, wenyewe wapo kimaslahi zaidi, na si vinginevyo."they don't care the word Beberu "

Trump alituita waafrika shitholes baadhi yetu mlifurahi Sana, kwanini iwe nongwa Kabudi kuwaita Mabeberu? ,hilo jina ni size yao kabisa.

Kuhusu misaada ,nchi hii tumepata misaada mingi lakini tumeendelea kua maskini wa kutupwa, pamoja na utajiri wa raslimali nyingi tulizonazo chini ya ardhi.

Ndugu watanzania, misaada haitatuletea maendeleo, maendeleo tutayapata kwa kufanya kazi kwa bidii katika uzalishaji mali,na kutokomeza rushwa na urasimu maeneo yote yanayohusu maendeleo yetu.

Lazima tusimame Kulinda utu wetu , dhidi ya hila zozote zile dhidi ya taifa letu .
Mgawanyiko wowote ule ni kuwapa fursa na mwanya wa kutuyumbisha ,eventually kutusambaratisha.

Narudia tena kauli ya Palamagamba Kabudi, Mabeberu hawana nia njema na taifa linaloelekea kujikomboa kiuchumi, kwani, uchumi mzuri hukufanya uwe huru dhidi ya mashariti yoyote hasi. Na ikumbukwe mashariti hasi yanazitesa nchi nyingi sana zinazojaribu kujikwamua kiuchumi.

Tujiulize, China, Veatinum, Malasia,Indonesia zimeendelea kwa kupewa misaada?, jibu hapana,ni kwa kufanya kazi kwa bidii huku wakijinyima.hatimaye sasa ni nchi za kupigiwa mfano. Watanzania tulichokua tunakosa ni uadilifu wa watumishi tuliowapa dhamana ya kutuwakilisha.

Rais Magufuli kaonyesha njia, ni jukumu letu sote kuungana nae kuijenga nchi.

Tulichokua watanzania tunakosa ni kiongozi jasiri wa kusimamia raslimali zetu. Leo kapatikana tunamkatisha tamaa na kumzodoa, mbaya Sana.

Lazima tubadili mindset zetu na tukiri ya kwamba tunaweza.

Lingine, Rais Magufuli hajafukuza wawekezaji wa kweli nchi hii, Kama baadhi yetu tunavyofikiri na kuaminishwa ,

Alichokifanya ni kuitoa Tanzania katika jina la shamba la bibi na kuifanya nchi inufaike na raslimali zake .huu ni msamiati mpya Tanzania, kwa slogan yake ya hamsini kwa hamsini. Umekua mwiba kwa makampuni ya kitapeli.

Hata hivyo Rais Magufuli amekua akitoa ruhusa kwa wawekezaji Kama wanaona kuna urasmi kwa wasaidizi wake, wamuone yeye Moja, kwa moja,,hii ni kuonyesha nia yake njema kwa nchi na wawekezaji pia.

Wanaojifanya mazingira magumu ni wale ambao walikua wakizoa tena bila mitaji yoyote ile,kisha kwenda zao, sasa kawabana, kilio chao kimebakia eti mazingira magumu.

Vijana nawahusia tena muda mnaoutumia kutukana mitandaoni na kulalamika, mwaka, miaka, mngeutumia kubuni mbinu za kujikomboa kiuchumi taifa lingekua mbali Sana, kwani serikali iko tayari kusaidiana nanyi katika kuiletea nchi maendeleo .

Matokeo yake mmebobea kwenye lawama na matusi. haya tuendelee na matusi na kulalamika Kama yataleta maendeleo.
Praise team!!
 
Nimekusoma mkuu wacha tupambane na hali zetu Huyu mbuzi wa bwanaheri kwenye shamba la bwanaheri anatuumiza vichwa bure
 
Beberu ana kibamia, sijui wanamuogopea nini!! Afadhali wangetuigopa sie kina punda dume inge-make sense
itakua ile harufu yake, wavumilie tu kwasababu mtaka cha uvunguni sharti ainame
 
Watz tuache mzaha, hiyo kauli kaitoa pale hata haiwezi vuka fensi inayozunguka eneo hilo alafu unasema ni shujaa!!! Tumerogwa...
 
Nianze kwa kutofautiana na wale wanaopinga Kauli ya ndugu Palamagamba Kabudi, alioitoa bungeni, akihitimisha hoja ya wizara ilio chini yake ,(wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki) .
Mimi naikubali Sana tu kauli hiyo.

Kiukweli Kabudi kawa mkweli, na jumuiya ya kimataifa imesikia msimamo wa serikali ya awamu ya tano . bila kupepesa

Watanzania tuache woga wa kunyimwa misaada kisa kusema ukweli. Tuwaite Mabeberu au wema kiasi gani, wenyewe wapo kimaslahi zaidi, na si vinginevyo."they don't care the word Beberu "

Trump alituita waafrika shitholes baadhi yetu mlifurahi Sana, kwanini iwe nongwa Kabudi kuwaita Mabeberu? ,hilo jina ni size yao kabisa.

Kuhusu misaada ,nchi hii tumepata misaada mingi lakini tumeendelea kua maskini wa kutupwa, pamoja na utajiri wa raslimali nyingi tulizonazo chini ya ardhi.

Ndugu watanzania, misaada haitatuletea maendeleo, maendeleo tutayapata kwa kufanya kazi kwa bidii katika uzalishaji mali,na kutokomeza rushwa na urasimu maeneo yote yanayohusu maendeleo yetu.

Lazima tusimame Kulinda utu wetu , dhidi ya hila zozote zile dhidi ya taifa letu .
Mgawanyiko wowote ule ni kuwapa fursa na mwanya wa kutuyumbisha ,eventually kutusambaratisha.

Narudia tena kauli ya Palamagamba Kabudi, Mabeberu hawana nia njema na taifa linaloelekea kujikomboa kiuchumi, kwani, uchumi mzuri hukufanya uwe huru dhidi ya mashariti yoyote hasi. Na ikumbukwe mashariti hasi yanazitesa nchi nyingi sana zinazojaribu kujikwamua kiuchumi.

Tujiulize, China, Veatinum, Malasia,Indonesia zimeendelea kwa kupewa misaada?, jibu hapana,ni kwa kufanya kazi kwa bidii huku wakijinyima.hatimaye sasa ni nchi za kupigiwa mfano. Watanzania tulichokua tunakosa ni uadilifu wa watumishi tuliowapa dhamana ya kutuwakilisha.

Rais Magufuli kaonyesha njia, ni jukumu letu sote kuungana nae kuijenga nchi.

Tulichokua watanzania tunakosa ni kiongozi jasiri wa kusimamia raslimali zetu. Leo kapatikana tunamkatisha tamaa na kumzodoa, mbaya Sana.

Lazima tubadili mindset zetu na tukiri ya kwamba tunaweza.

Lingine, Rais Magufuli hajafukuza wawekezaji wa kweli nchi hii, Kama baadhi yetu tunavyofikiri na kuaminishwa ,

Alichokifanya ni kuitoa Tanzania katika jina la shamba la bibi na kuifanya nchi inufaike na raslimali zake .huu ni msamiati mpya Tanzania, kwa slogan yake ya hamsini kwa hamsini. Umekua mwiba kwa makampuni ya kitapeli.

Hata hivyo Rais Magufuli amekua akitoa ruhusa kwa wawekezaji Kama wanaona kuna urasmi kwa wasaidizi wake, wamuone yeye Moja, kwa moja,,hii ni kuonyesha nia yake njema kwa nchi na wawekezaji pia.

Wanaojifanya mazingira magumu ni wale ambao walikua wakizoa tena bila mitaji yoyote ile,kisha kwenda zao, sasa kawabana, kilio chao kimebakia eti mazingira magumu.

Vijana nawahusia tena muda mnaoutumia kutukana mitandaoni na kulalamika, mwaka, miaka, mngeutumia kubuni mbinu za kujikomboa kiuchumi taifa lingekua mbali Sana, kwani serikali iko tayari kusaidiana nanyi katika kuiletea nchi maendeleo .

Matokeo yake mmebobea kwenye lawama na matusi. haya tuendelee na matusi na kulalamika Kama yataleta maendeleo.



TUTAANZA LINI KUPONGEZA WATU KWA KAZI BADAYA YA KWA KUONGEA. HUYU WAZIRI KAFANYA NINI MPAKA LEO KWENYE HII WIZARA MPYA KUTULETEA MAENDELEO?
 
Umeongea vizuri sana sasa tufanye hivi budget ni mwezi ujao ktk budget yetu kusiwe na kipengere chochote kinachosema asilimia nyingine zitasaidiwa na wahisani! Yaani tusiwe kama rwanda ambao budget yao asilimia 70 ni msaada wa wahisani hao mabeberu! Kwa hiyo tujitegemee asilimia mia na pia condoms, arvs, dawa za malaria etc wanazotuchangia mabeberu vyote tuvikatae! Halafu ndo mje hapa kutoa mimacho kama mjusi aliyebanwa na mlango!

Mnataka kutuaminisha ujinga hapa, nchi ni maskini bila msaada budget hazipiti, mnakaa kwenye ma v8 na kila kitu mnalipiwa na serikali halafu mnajifanya kujisahaulisha hapa, tokeni hapo mjini nendeni vijijini mkaone watu wanavyoteseka!
 
Shida moja kubwa mnasema mnalipambania taifa wakati Kabashite kanakula bata Kwa hela za uizi... Mkitaka tuwaunge mkono na tuone mna nia njema tubadilishe katiba tuweke usawa wa sheria na kila mtu afanye kazi hiyo nitawaunga mkono bila Hiana.
Bila kuunga mkono utafanyaje? Utaihujumu nchi?
 
Nianze kwa kutofautiana na wale wanaopinga Kauli ya ndugu Palamagamba Kabudi, alioitoa bungeni, akihitimisha hoja ya wizara ilio chini yake ,(wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki) .
Mimi naikubali Sana tu kauli hiyo.

Kiukweli Kabudi kawa mkweli, na jumuiya ya kimataifa imesikia msimamo wa serikali ya awamu ya tano . bila kupepesa

Watanzania tuache woga wa kunyimwa misaada kisa kusema ukweli. Tuwaite Mabeberu au wema kiasi gani, wenyewe wapo kimaslahi zaidi, na si vinginevyo."they don't care the word Beberu "

Trump alituita waafrika shitholes baadhi yetu mlifurahi Sana, kwanini iwe nongwa Kabudi kuwaita Mabeberu? ,hilo jina ni size yao kabisa.

Kuhusu misaada ,nchi hii tumepata misaada mingi lakini tumeendelea kua maskini wa kutupwa, pamoja na utajiri wa raslimali nyingi tulizonazo chini ya ardhi.

Ndugu watanzania, misaada haitatuletea maendeleo, maendeleo tutayapata kwa kufanya kazi kwa bidii katika uzalishaji mali,na kutokomeza rushwa na urasimu maeneo yote yanayohusu maendeleo yetu.

Lazima tusimame Kulinda utu wetu , dhidi ya hila zozote zile dhidi ya taifa letu .
Mgawanyiko wowote ule ni kuwapa fursa na mwanya wa kutuyumbisha ,eventually kutusambaratisha.

Narudia tena kauli ya Palamagamba Kabudi, Mabeberu hawana nia njema na taifa linaloelekea kujikomboa kiuchumi, kwani, uchumi mzuri hukufanya uwe huru dhidi ya mashariti yoyote hasi. Na ikumbukwe mashariti hasi yanazitesa nchi nyingi sana zinazojaribu kujikwamua kiuchumi.

Tujiulize, China, Veatinum, Malasia,Indonesia zimeendelea kwa kupewa misaada?, jibu hapana,ni kwa kufanya kazi kwa bidii huku wakijinyima.hatimaye sasa ni nchi za kupigiwa mfano. Watanzania tulichokua tunakosa ni uadilifu wa watumishi tuliowapa dhamana ya kutuwakilisha.

Rais Magufuli kaonyesha njia, ni jukumu letu sote kuungana nae kuijenga nchi.

Tulichokua watanzania tunakosa ni kiongozi jasiri wa kusimamia raslimali zetu. Leo kapatikana tunamkatisha tamaa na kumzodoa, mbaya Sana.

Lazima tubadili mindset zetu na tukiri ya kwamba tunaweza.

Lingine, Rais Magufuli hajafukuza wawekezaji wa kweli nchi hii, Kama baadhi yetu tunavyofikiri na kuaminishwa ,

Alichokifanya ni kuitoa Tanzania katika jina la shamba la bibi na kuifanya nchi inufaike na raslimali zake .huu ni msamiati mpya Tanzania, kwa slogan yake ya hamsini kwa hamsini. Umekua mwiba kwa makampuni ya kitapeli.

Hata hivyo Rais Magufuli amekua akitoa ruhusa kwa wawekezaji Kama wanaona kuna urasmi kwa wasaidizi wake, wamuone yeye Moja, kwa moja,,hii ni kuonyesha nia yake njema kwa nchi na wawekezaji pia.

Wanaojifanya mazingira magumu ni wale ambao walikua wakizoa tena bila mitaji yoyote ile,kisha kwenda zao, sasa kawabana, kilio chao kimebakia eti mazingira magumu.

Vijana nawahusia tena muda mnaoutumia kutukana mitandaoni na kulalamika, mwaka, miaka, mngeutumia kubuni mbinu za kujikomboa kiuchumi taifa lingekua mbali Sana, kwani serikali iko tayari kusaidiana nanyi katika kuiletea nchi maendeleo .

Matokeo yake mmebobea kwenye lawama na matusi. haya tuendelee na matusi na kulalamika Kama yataleta maendeleo.
wajinga na wapumbavu ndio wanaweza kumpongeza professor kabundi. nchi inaingizwa kwenye matatizo makubwa kama Mugabe alivyo ingiza Zimbabwe kwenye dimbwi la umasikini. halafu bila aibu unawashauri watu waunge mkona vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu na utawala wa kiimula usio zingatia sheria na kayiba za nchi. hivi kweli Tanzania inauwezo gani wa kujiamlia mambo yake bila kushirikiana na mataifa mengine hasa ya magaribi ? Russia na china pamoja na uchumi na technology walizo huwezi kuwasikia wakitunishia misuri vikwazo vya kimataifa halafu hawa washamba malimbukeni wa awamu ya tano ndio wanao wenza kuiendeleza tanzania bila misaada! miaka hamsina kitu ya maraisi wanne tena wenye akili walishinda na misada wakipokea halafu huyo wa chato aliye weka uwaja wa ndege na bank kijijini kwake ambavyo vimekuwa makao makuu ya panya na bundi ndio awe na uwezo wa kuitowa Tanzania kwenye nchi tegemezi? ndonto za mvuta bangi hizo.
 
Tumepata rais anayeipigania Tanzania kisha rais huyo huyo anaendesha hujuma za wazi dhidi ya watanzania wenzake kwa sababu za kiitikadi kisha utegemee aungwe mkono na watanzania wote!? Muambieni aache demokrasia itamalaki tupate viongozi kwa ridhaa yetu na sio hao vibaraka. Naona kila siku mnalazimisha kwamba anatukanwa, mkiambiwa muonyeshe matusi hamuwezi kumbe mnataka asujudiwe. Jifunzeni kuheshimu choice za watu mpate heshima ya kutawala kwani mtakuwa madarakani kwa ridhaa ya umma.
 
Back
Top Bottom