Jezi za Taifa Stars zimeangalia maslahi ya Yanga

Hapa tunazungumzia timu sio bendera.
Tunazungumzia rangi si timu. Mtoa hoja nanataka kwenye jezi za timu ya taifa kuwe na rangi nyekundu kwa vile ni rangi ya timu kubwa hapa nchini. Je hii ni sababu ya msingi? Azam je nao tuweke rangi yao kwenye jezi za timu ya taifa?
 
Umeshindwa kutambua juhudi za mama mzazi aliyekubeba tumboni kwa miezi tisa, akakuzaa na kukulea mpaka kufikia hapo leo hii unamkosea heshima kiasi hiki??

Kwa akili kama hizi za kwako basi tuna mile nyingi za kwenda
Mkuu uishi milele
 
Mbona hamkuhoji walipoikoleza blue. Acheni hizo bana Mtani.

Nadhani wameamua kufanya mabadiliko hivyo tulieni tu na ikiwezekana mununue ili muisapoti TFF katika kupata mapato. 😀😀
Hahaha yani TFF
Wanataka tukaipambe nchi ya mafarao na njano.

Ule Uzi wa zamani wa Green(kijani) tunge wakabizi tenda puma, Nike ama adidas watu tulee kitu cha mfano kama ule Uzi wa Niger uliotumika word cup
 
Sijawahi kupenda rangi ya blue katika jezi zetu za taifa. Kwanza mimi ni mnazi ya Simba (Mimi ni Kilomoni Jr.) ila ahuweni tutumie rangi hizi mbili (kijani na njano) au kama tunatumia blue basi iwe kwenye soksi ama bukta na iwe blue ya kukoza kama ile ya Brazil.

Fulana zikiwa kijani zitaleta muonekano mzuri sana na iwe kijani ya kukoza sana na bukta ndizo ziwe za blue.

Mwisho: kwa aina ya wachezaji wetu hata ukiwapa jezi za dhahabu ni sawa na kipini cha dhahabu juu ya pua ya nguruwe.

Wapeni tu hayo hayo majezi mabaya yanayoendana na uchezaji wao wa hovyo...
Ha ha ha ha ha jezi Kali unampa kichuya na Gadiel
 
Bashite anategesha misifa tu hapo.
hapo timu ikishinda atasema ni vile ni serekali ya CCM ya awamu ya 5 imewezesha!

kimbuka yeye ni Simba lialia (red) lakini wakati huohuo ni CCM kindakindaki (yellow & green).
so, hapo anategeshea tu tumbo lake kuhakikisha linapokea tokea ile kipande ya yellow & green!
Bashite katia mkosi tu apo hana analoweza zaidi ya kulia lia na kulilia magari ya watu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom