Life goes on! Hao wamejifunza the hard way.
Moyo wa MTU kichaka.... Heri yao walau wamejua 5% ya yaliyo nyuma ya waliowapenda. Huyu kajua ya kuchepuka na huyu kajua reaction ya mwenzio inapokuja Yale usiyoyatarajia.
Mwisho wa Siku.... Lazima maisha yaendeleeee.... Sio kusema sitapenda tena, au...
Angalizo LA kiusalama kwa
wananchi na vyombo vinavyohusika.
Given hali ya uhalifu katika jiji LA DSM,
Umakini uwepo kuelimisha wananchi,
Wezi wasije tumia mwanya wa ukaguzi
wakaibia watu. Matapeli watafika wakisema ni wakaguzi.
Tuwe makini.
Story inatambaa kuanzia uchumi, masomo, ubunifu, drugs, mapendo, mahabati, usaliti, muziki, ubandindu, umbea, kazi , mbinu za kivita hadi mambo ya kimedically. Mtu mzima najikuta nafuatilia Tu.... You are the best..
Kama hutoandika vitabu na kuuza utanisikitisha best.
Wewe ni mkaliiiiii!! Usipite bila kuacha alama kwa kuandika vitabu.... Usipite Tu kama Lunyamila, Boban na Chuji.... Fanya kweli. Mungu akutangulie.
Watu wengi tunaowaongelea ufisadi Mkubwa huenda tuhuma dhidi yao si za kweli, au they played it so smart that kuwakamatia chini ni vigumu. Kwa nini wametajwa miaka nenda rudi na hamna wafanywalo?
Mimi ni mtumishi wa umma.
Sina cha jmosi wala jpili. Na sasa naelekea kazini. Nurses , drs wako kazini. Waalim wa zamu, police wako kazini.makatibu wakuu wa wizara, wasaidizi wao lazima wataenda kazini. TRA bandarini, usalama barabarani wataenda lazini.....n.k. Ukiona kazi yako haikuhitaji...
Sifikiri kama serikali haikujua itakatwa wapi?. Walijua vizuri. Sarakasi Tu.
Issue ni kutoa elimu ya ulipa kodi. Bahati mbaya mtaji wao ni kuwaambia wananchi hiki kitakuwa bure na hiki bure.....sasa kwa hili wanakosa pozi na kujiamin.
Kwa upande wangu naona ni chanzo kizuri cha mapato. Tukubaliane.
Pole. Ukishirikisha ndg na jamaa watakushauri ujinga wa kusamehe na kuwa na subira. Mwanamke akishafika hapo latu harudi nyuma. Yatajirudia rudia.siku hazigandi.... Songa.mbele
Mungu amekufunulia hayo ili uchukue hatua. Ukishindwa kuchukua uamuzi wa kumwacha utajuta.
Kuna mstaafu mmoja alishutuka but walishapiga M 7. ... Wabaya sana wale.matukio ya namna hii watu wanatakiwa kupewa matangazo ya kuwaelimisha kupitia vyombo vya habari. Police na mifuko ya hifadhi ya jamii wanatakiwa kusaidia katika hili. Mafunzo ya kujiandaa na maisha baada ya utumishi yapewe...
Kutokana na ulivyoandika, unaonyesha we we ni MTU Mwenye roho nzuri na unajali. Hata umemshirikisha mama. Issue ya DNA watu wanataja taja Tu. Kuna maisha baada ya kipimo hicho..... These days kila MTU DNA, DNA.....
Amekuwa MTU wako... Kutoka huduma kwa malipo hata kupeana bure.... Unajua uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.