Write your reply...Kama kungekuwa na option ya kusambaza umeme na mm ndo muhusika mbona ningemkausha huyo... mtu kachoka hataki kuishi uchumi wa kati nyie mnamlazmisha
Kw maelezo yako ya kutufokea nimejifunza kitu kimoja kuwa humu wapo wakina Hannah tu kwahiyo wanahitajika wakina Anna ili kuwasaidia hawa jamaa waliokufundisha hizi tabia na wao wabadilike
Nyie ndo
Nyie ndo akili hamna... kwani nini maana ya kusimamiwa? kaka lazima ieleweke hii ni mikataba sina ufahamu sana kuhusu mikataba ila ufahamu wngu wa awali tu mkataba ni makubaliano kati yenu so una hiyari ya kukubali au kukataa so sioni tatzo kwa wcb kumiliki msanii na kila kitu chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.