Mnadhani CCM iibe uchaguzi,iue imueke Mbowe ndani kwa charges za kisenge! Alaf Biden atoke amsikilize Samia!? Seriously!? Mnadhani Hana vitu vya kufanya. Boresheni utawala Bora na haki
Kumekuwa na claim nyingi juu ya kupandishwa hadhi kwa vijijj, mitaa, na halmashauri kadhaa kutokana na kutimiza vigezo vya kupanda kadhi vilivoekwa na Sheria na kanuni zetu.
Suala hili limechangiwa na kupitwa na wakati kwa Sheria mbalimbali zinazoongoza sekta hiyo. Hivyo Kuna uhitaji was wizara...
Kwe
Kwenye soko la dunia sisi utatfananinisha na wachina? Ata wahindi na ukubwa wao wanatumia english! Kiswahili hakiwezi kutusukuma mbele kitaaluma na kikitumika kitaaluma sio Kama ndo kitakuwa dhaifu
Aaibu Ni iyo ferry ya dar na ya Zanzibar! Hazina hadhi kabisaa yanj Toka ukoloni mpaka leo hamna maboresho. Waiting area mbovu, joto, ndogo Kama vile hatujazungukwa na bahar.
Kama hizi hesabu ziko sahihi kwanini watu wengi hukimbilia kulima mahindi na si alizeti? Mm Nina mashaka na hesabu zako!!! Mana tungekuwa hatuna changamoto ya mafuta nchini
Kujenga mall Ni gharama ndio ijengwe uswazi ili iweje ndugu. Na anaejenga sio serekali Ni private sector. Mbali na hapo mall ya aura na city mall Zina umbali gani na happy magomeni Kota? Ushawahi at kwenda!!!?
Apo mall ya nini jamani, ukipanda mwendokasi dakika 5 uko city mall na aura mall. Ukija chuo kikuu Kuna sinza na mlimani!!! Hospital ya magomeni hujaona? Na nyumba za madtari, siamesema sehem ilobaki zijengwe nyumba tayari au ushushushu Tena update teuzi?
Swali lipo hapa, Bei ya alizeti Ni ndogo kweli! Sababu Ni ndo Bei ya soko la dunia au tija kwenye ekari Ni ndogo kiasi kwamba mtu akiuza kwa Bei hiyo elekezi hapati faida ya kutosha?
Unaongelea alizeti wakati ngano tu eti Tanzania inaagiza kutoka nje!! Bei ya unga imepanda maradufu wakati maeneo ya kulima tunayo... Point kubwa kwenye suala la alizeti Ni research chache na Tija ndogo kwa wakulima. Ukilima eka Moja ya alizeti na mahindi, faida ya mahindi Ni kubwa kuliko ndo...
Heri ya mtu anaekukaripia na mkali ilihali unajua anasimamia misingi gani kuliko mtu mpole mtulivu na mwenye maneno laini ila hujui Ana misimamo gani! Wengi wetu tulitarajia ajira zitatoka na kipato Cha watu kuongezeka. Tulitarajia mabadiliko kiutawala (katiba mpya ili tusirudi kuwa na viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.