Esther Matiko: Wanaobaka wahasiwe

Magazetini

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
588
1,698
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akichangia leo bungeni mjini Dodoma amesema kutokana na kuibuka kwa matukio mengi ya ukatili wa watoto anafikiria kuwa wanaobainika kufanya hivyo wahasiwe ili kuifanya jamii ya kitanzania kuwa salama.

=======

Esther Matiko: Kumekuwa na matukio ya kikatili dhidi ya watoto kwenye Taifa letu ambayo yamekuwa ni muendelezo. Ntacite mifano ambayo nimeishuhudia kwa wiki moja tu hii.

Jana kwenye jimbo la Shinyanga mjini kuna mtoto wa mwaka mmoja miezi 11 amebakwa na baba wa kambo, amepelekwa hospitalini Kambarage wakamrefer kwenda Bugando, ameharibiwa ametobolewa kote, mbele nya nyuma yule mtoto, inasikitisha sana, mtoto wa mwaka mmoja na miezi 11. Mengine yamekuwa reported, mengine sio reported.

Kama Taifa huyu mtoto hata akipona ataathirika kisaikolojia, sasa wapo wangapi kama hawa kwenye Taifa letu! Tunachukua hatua gani!

Songea kuna kijana wa miaka 19 amebaka na kulawiti watoto wa shule ya msingi zaidi ya nane wadogo. Iringa watoto wamelawitiwa na kubakwa wadogo.

What are we doing, tunafanya nini kama Taifa kwani hata hizi sheria tunazoweka naona kama zinakuwa loose, at a time unafikiria hata hawa watu wawe wanahasiwa kabisa or even you remove tha part ili jamii iweze kukaa vizuri.

Inaumiza sana kama Taifa na kama mzazi naumia.

Esther Matiko.jpg
 
She's emotional and this is understandable, but severing some random dude's gonads will not mitigate a problem...

Wabakaji wa watoto wanakera sana, lakini tatizo siyo msukumo wa kingono peke yake bali pia imani za kishirikina. Mfano, siku za hivi karibuni takwimu zinaonesha kesi za unajisi wa watoto ziko kwa wingi mkoani Iringa. Zamani ilikuwa ni sehemu za Pwani. Baada ya kufuatilia kwa undani nikafahamu kwamba imani za kishirikina zinachangia sana haya kutokea.......
 
Ameshatafuta chanzo cha tatizo, kabla ya kukimbilia kwenye hitimisho?

Yaani akiwa kama msomi, badala ya kuumiza kichwa kutafuta chanzo cha haya matatizo kushamiri kwenye jamii yetu, yeye anakimbilia kutatua tatizo kwa njia ya mkato!

Vipi ikitokea mtu akasingiziwa kubaka! Halafu akahasiwa! Halafu baadaye ikabainika, hakufanya hilo kosa! Itakuwaje?
Au lengo wanataka wabakie wenyewe, ili waishi kwa kusagana?
 
Kuna wakati kama huna Idea ya kutatua Tatizo na unaona ni tatizo kweli sio lazima useme njia ya kijingajinga hivi.
 
Hivi baada ya bunge hili kuisha,yaani 2025,huyu na wenzake 18 watafanyia chama kipi kampeni?
 
She's emotional and this is understandable, but severing some random dude's gonads will not mitigate a problem...

Wabakaji wa watoto wanakera sana, lakini tatizo siyo msukumo wa kingono peke yake bali pia imani za kishirikina. Mfano, siku za hivi karibuni takwimu zinaonesha kesi za unajisi wa watoto ziko kwa wingi mkoani Iringa. Zamani ilikuwa ni sehemu za Pwani. Baada ya kufuatilia kwa undani nikafahamu kwamba imani za kishirikina zinachangia sana haya kutokea.......
Tatizo ni mamlaka husika kutofanya maamuzi sahihi kulishughulikia hili tatizo. Badala ya kumtafuta mganga wa kienyeji anayeeneza huo utaratibu wanamshughulikia aliyetenda peke yake. Wakati mganga anaendelea kuvuna wateja wa kutenda huo uhalifu.
 
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akichangia leo bungeni mjini Dodoma amesema kutokana na kuibuka kwa matukio mengi ya ukatili wa watoto anafikiria kuwa wanaobainika kufanya hivyo wahasiwe ili kuifanya jamii ya kitanzania kuwa salama.

Nayeye Mtiko akeketwe.
Kwanza anaonyesha mikono, shingo na ngu ya kubana.
Anavutia wbakaji.
Huyo dada pembeni yake ndio anafaa kwa kujiheshimu.
 
Back
Top Bottom