Recent content by Mayu Ngoma

  1. M

    Kaz za kimya kimya

    Wanajamii, tuwewakweli, unemployment ni issue moja wapo ambayo imemletea mubaraka hayo yote tukiacha, ugiriki, nk. Employment ni jukumu la serikali kwa wananchi wake, lakini kwa tanzania hi ya JK, dont be over expectant, lazima tukaze boot, tubuni ya kubuni na kuchesi ndoto za maisha yetu. Yes...
  2. M

    Tukio la kutisha mkoani mara!!!!!!!!!

    Naona hawa walitaka kupotosha na kupoteza wananchi kuhusu habari ya ukweli ambayo imetokea huko mkoani mara kwa mh.boxer ambapo walinzi wa muekezaji mmoja wameua mwananchi wa kawaida kwa tuhuma kuwa ngombe wake aliingia kwenye eneo la mwekezaji. Na taarifa ilipotelewa police na kwenye vyombo...
  3. M

    CCM Marekani yavurugana, Makamba yuko wapi?

    Inavyoonekana sasa, CCM si chama tu bali ni roho ndiyo maana inasambaa kote kote. Mungu aturehemu na kutuponya ni hii roho!!
  4. M

    Hi to all JF funs!!!

    Jamani mimi naitwa Mayu Ngoma, mpenda maendeleo na zaidi nina uchungu kwa wanyonge ambao serikali ya kikwete na wenzake imesahau sana. Just introducing myself to you all as i just subscribed to JF,looking forward to contributing more and learning from other 'wapenda maendeleo na wanaharakati'...
Back
Top Bottom