tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
..surnames (rugimbana, ndejembi, simba, janguo)!!! then why these cheap head low wako proCCM!! sio wenzetu hawa!!
Hee! London kuna matawi kila kona, tena mrngine yamefunguliwa na Msekwa. Hapo London usipime, ndipo CCM ilipo. Walikuja kwenye kura za maoni wakamwagwa wote.
Sasa kama unalipiwa karo na serikali ya CCM kwanini uichukie! Shauri yao masikini huko TZ. Huu usingizi wa miaka 50 sijui utaisha lini
Na bado!! Mwaka huu wataparangana hadi wachoke. Tena, kuna taarifa za kiintekijensia kuwa wakifanya kikao kingine watavuruga amani.
Hivi chadema tuna tawi nje? Nashauri tuige mfano huu pia
Kama Kuna Mtanzania Anapicha Zao Tuwaone na Familia Zao Wawaone ili Wakitembelea TZ Wasuswe....
ccm ccm ooh chama cha mapinduzi,ccm nambari one...............hawana kazi za kufanya hao jumlisha na kujipendekeza!kama wanaipenda sana hiyo sisiem warudi bongo ili waitumikie kwa karibu zaidi!
Ndugu wanajumuia na wana ccm;
Rejeeni taarifa ya bwana Frank Msigwa aliyoitoa Jan. 11. 2011 ambayo kwa mara nyingine tena imezua mtafaruku mkubwa kwenye jumuia yetu yenye amani.
Ni kutokana na mtafaruku huo na ukweli kuhusu taarifa hiyo ndio iliyonifanya nije mbele yenu wanajumuia kutoa ufafanuzi baada ya kuomba radhi kwa mtafaruku huo.
Kama kiongozi wa Tawi hili la CCM napenda kuwaomba radhi wanajumuia na wana CCM kwa yote yaliyotokea na kwamba nitaendelea na jihada za kutosha kuzuia mambo kama haya yasitokee tena.
Kuhusu ukweli wa taarifa hiyo ya bwana Msigwa ni kwamba pamoja na mapungufu makubwa yaliyo katika taarifa hiyo, HAKUNA MAKUBALIANO YOYOTE yaliyofikiwa katika mgogoro huo ingawa kuna jitihada za dhati za kumaliza mgogoro huo.
Mwisho nawasihi wanachama wote wa CCM ambao mmesha jiunga na ccmgroup kutumia mtandao huo kwani kutumia mtandao wa THC kunawakwaza wenzetu ambao si wanachama wa ccm. Na kwa wale ambao hawajajiunga tafadhari fanyeni hima kujiunga ili kujua kinachoendelea na kutoa maoni yenu kwa nafasi bila woga.
NB: TAARIFA ZAIDI ZITATOLEWA KWENYE ccm groups mapema iwezekanavyo,
Michael Ndejembi
Mwenyekiti
CCM - Marekani.
Nimesoma hapo kwenye nyekundu nimebaki nacheka mwenyewe,naona sasa imekuwa msamiati mpya!!Na bado!! Mwaka huu wataparangana hadi wachoke. Tena, kuna taarifa za kiintekijensia kuwa wakifanya kikao kingine watavuruga amani.
gademu... sasa na London na Moscow nako vikianza si itakuwa ni tatizo kubwa.