Habari za asubuhi wakuu?
Ninapenda kuwashirikisha jambo ambalo limenitokea leo wakati naelekea kibaruani. Siku tatu zilizopita hawa jamaa wa Dar es Salaam Rapid Transport (DRT) walianza kuuza kadi ambazo wateja wanatumia badala ya tiketi ambazo zimekuwa zikitumika tangu kuanza kwa mradi.
Leo...
Inategemea aina
Nasikia mabenki yatatumika kuwapata. Kwa wajasiriamali na hasa kama kasajili jina la kampuni na kufungua akaunti kwa jina hilo ni ngumu kuwapata
Aise pole sana. Suala lako linalingana na ripoti ya mkemia mkuu ambapo ilionekana asilimia kubwa ya kesi zilizopelekwa kwake ilidhihirisha wanaume wengi walisingiziwa watoto ambao sio wao.
Kuna jamaa yangu mmoja alinisimulia kuwa kuna dada wanafanya nae kazi basi wakati maniacal. Siku ya...
Mkuu unaijua vema lakin sheria ya manunuzi? Kuna baadhi ya huduma ambazo unapata karibu kila siku toka kwa supplier fulan. Badala ya kila unapohtaji kununua ufuate taratibu zote za manunuzi, timu ya manunuzi inaamua ku pre-qualify suppliers kadhaa kwa muda fulan aidha miezi sita, mwaka, nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.