Recent content by mayman

  1. mayman

    Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

    Diamond ni jeuri na anacheza na akili za watu saivi katoa wimbo mpya na watu wamehamishia attention kwenye wimbo wamesahau juzi tuu walikua wanaongelea PENSELI.Mkimaliza kuongelea hili la kucopy ataleta tukio lingine.
  2. mayman

    Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

    Hakunaga nyimbo mbaya kwa diamond,Kama hujaipenda leo utaipenda kesho.
  3. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asantee mkuu japo kwangu najaribu kudeposit inanigomea
  4. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu Innocentinno unahamishaje hela kutoka airtel money kwenda mastercard.nimekwama inakataa.
  5. mayman

    Wizkid ndani ya wasafi Festival,Yes or No?

    Wa ndani wanadai wameibiwa penseli
  6. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu kuwithdraw hela haisumbui?
  7. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mpesa naona inazingua kuweka.
  8. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi mastercard ya Crdb inafaa kudeposit na kuwithdraw 22bet?
  9. mayman

    Mkoa wa Tabora kugawanywa na kuwa mikoa miwili

    Tuigawanye Tanzania sio mikoa ili tuchague raisi wetu huyu aliopo mbaki naye huko Magogoni.
  10. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sijakupa vzr mkuu code zipo huwa wananitumia nikitaka kutoa hela hela,sasa nimtumie nani hiyo code ili nipate hela yangu,maana no zao zote hazipatikani.
  11. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hatari sana sisi tulioko huku na vijijini tuwe wapole
  12. mayman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu Mayu hii app unatoaje hela mi nimeshinda mpunga wangu huko nimeshindwa kuutoa
  13. mayman

    Diamond sasa mnyonyaji mpya mjini

    Hiyo hela ni ndogo sana tena mond kamfanyia uungwana sana unapovunja mkataba kabla haujaisha lazima ulipe gharama za huo mkataba hili liko wazi dunia nzima,kama unaona mond ni mnyonyaji jaribu kufuatilia mikataba ya nchi zingine zilizoendelea kimziki uone haya mambo yanavoenda usipende kulishwa...
Back
Top Bottom