Recent content by Mayela chalya's

  1. M

    Natafuta dalali wa maroli ya mizigo kutoka Katavi au Mpanda

    Nina mzigo ninaotaka kusafirisha, hivyo nahitaji broker au dalali atakayenisaidia kunitafutia gari linalofaa kwa usafirishaji huo kwa haraka na kwa gharama nafuu. Piga simu tufanye kazi 0682493359
  2. M

    Natafuta mashudu ya alizeti kwa bei ya jumla

    Habari wana jamii. Niko Tarime natafuta mashudu ya alizeti nayafata popote Tanzania
  3. M

    Hii ndio sababu kuu ya Kwanini naielewa sanaa FAIDA FUND kuliko UTT AMIS

    Mkuu Nashukuru kwa mada nzuri. Ila mimi labda sijaelewa ila naona kama repurchase ikiwa ndogo inakupa faida wewe au vp. Mfano: nna vipande 8,000 ambavyo kwa bei ya siku hiyo SP ni 135 na RPS ni 126, nikiuza inakua 8,000 × 135 = 1,080,000 na baada ya kuuza nikataka kununua tena ndo bei inakua...
  4. M

    Series (Special thread)

    GAME OF THRONE Hii ni series Bora zaid
  5. M

    Series (Special thread)

    Game of throne
  6. M

    Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

    Kama haitoshi acha kazi😅 Mtu anakaa nyumba ya 200k monthly Anataka asomeshe watoto international school Weekend akalewe kdg Anataka avae kama kina marioo Anaenda kukopa ananunua Gari ya kuuzia sura town alafu anakwambia skuiz gari sio anasa ni mahitaji muhimu!!! 560,000 ni hela nyingi sana...
  7. M

    Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

    Nmeongea haya sio kwa nadharia hapana mimi nmeajiriwa 2012 nmecheza kombolela kama miaka mitano hivi, yaani unalipwa mshahara hujui hata unaishia wapi😅 Na hapo sikua na familia wala nini lakini nhoma haioni giza mbili. Nikaja kupata dem akachangia kunifungua mawazo, nikajiuliza saiz nakaa na...
  8. M

    Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

    Tafuta hao wanaolipwa mshahara huo watu 10 kati yao utapata atakaetoboa. Hapo unatak ukapange nyumba kali,mle luxury huwez toboa. Kwan hao watanzania wanaoishi chin ya dola kwa siku??!
  9. M

    Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

    Habari za Harakati za kiuchumi. Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo. Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo...
  10. M

    Biashara ya bidhaa kutoka China

    Kaka naomba kujua hii ya hizo mita
  11. M

    Tairi za Sinoray bajaj zinafaa kwa TVS bajaj?

    Guyz naomba kuuliza tairi za kwenye Sinoray bajaj zinaweza kufaa kwenye TVS bajaj, na vipi ubora wake na changamoto zake.
  12. M

    Bachelor application while studying bachelor

    Yaan nataka nisome OPEN wakat nafanya business zangu nikiwa Dar, ila mda huo kazini wajue niko campus, mmenielewa hapo???
Back
Top Bottom