Recent content by mayawi

  1. M

    Nauza samsung galaxy s3 na s2 mpya

    Same price almost maduka yote ya posta mpya.
  2. M

    Nimepata kazi nchini Botswana, mshahara us dolla 700 kwa mwezi

    Kweli kabisa mkuu. Botswana is the most expensive Country especially Gaborone. Nimewahi kwenda kule. Ni kuzuri, lakini maisha ni ghali sana. Kwa dolla 700 mh!!!!
  3. M

    Ushauri kuhusu Umbilical Hernia kwa mtoto wa miaka 7

    Kama ni Umbilical Hernia haiwezi kuisha hata ufanyeje. Dawa ni operation ya kuiondoa tu. Mimi nilipiga chenga kwa mwanangu tangu akiwa na umri wa miaka minne, lakini nimekuja kusalimu amri akiwa na miaka 22. Asikudanganye mtu eti ni kitovu kitaisha kadiri anavyokua. Utakuwa unamtesa mtoto tu...
  4. M

    Ushauri kuhusu Umbilical Hernia kwa mtoto wa miaka 7

    Pole sana Bashada. Kama mtoto ana Umbilical Hernia, basi hilo si tatizo kubwa. Nenda hospitali wakamfanyie Ultra Sound ili kudhibitisha kama kweli ni Umbilical Hernia. Mimi mwanangu alisumbuliwa sana na tatizo hilo haswa anapokuwa sehemu ya baridi. Kwa sasa ni kijana mkubwa na anasoma Chuo Kikuu...
  5. M

    Tanzia: Lema kafiwa na mama Mkwe wake

    Poleni sana wafiwa. Mungu awatie nguvu na faraja.
  6. M

    Majembe auction mart (vijana wa kazi) wanawatoa blue pearl Ubungo plaza

    Ulitaka niandike nikiwa nalia? Washenzi sana wahindi. Ujue lile jengo tumewekeza pesa zetu walalahoi tunaochangia hiyo mifuko ya jamii. Huyu mhindi kajifanya kidume anatumia mbinu ataifishe jengo liwe lake, halafu wewe unamtetea? Je unayajua manyanyaso anayowafanyia wapangaji wenzie, wengi...
  7. M

    Majembe auction mart (vijana wa kazi) wanawatoa blue pearl Ubungo plaza

    Baada ya PSPF, NSSF NA PPF Kushinda kesi yao na Blue Pearl mahakamani leo, Vijana wa kazi Majembe Auction Mart wako kazini kuwatoa Blue Pearl katika jengo la Ubungo Plaza. Hivi ninavyoandika uzi huu, baadhi ya furniture tayari zimetolewa nje. Ubungo Plaza yashikilia magari 30 ya Hoteli ya Blue...
  8. M

    Ndege za Fast Jet zina matatizo gani?

    Hivi huyu Pdidy ameenda shule japo kaform four jamani?? Maana andika yake Mmmm!!!!!
  9. M

    One day sale: Uongo wa fastjet

    Pole sana ndugu yangu. Promotion ya fastjet siku zote huwa ni ya ukweli. Kama wewe hujabahatika, basi wenzio sisi tunafaidi fastjet. Ninawapongeza sana Fastjet na ninawapa BIg up!! Ni airline pekee ninayoiona ya uhakika kwa safari za ndani. Mimi nimefanya booking leo na zote nimepata...
  10. M

    Tibaijuka: Nimepokea Bilioni ya Mbia wa IPTL! Malipo yalisimamiwa na BoT

    Hivi wanawake maskini, watoto yatima na albino wanasadiwa kwa ada ya zaidi ya shilingi milioni 4 kwa mwaka? Hebu jaribu kupeleka mtoto kwenye hiyo shule uone kama hukurudi naye?
  11. M

    Tibaijuka: Nimepokea Bilioni ya Mbia wa IPTL! Malipo yalisimamiwa na BoT

    Hivi wanawake maskini, watoto yatima na albino wanasadiwa kwa ada ya zaidi ya shilingi milioni 4 kwa mwaka? Hebu jaribu kupeleka mtoto kwenye hiyo shule uone kama hukurudi naye?
  12. M

    Issaya Mgulu:Si lazima kumwomba Mungu

    Acheni kuongeza chumvi. Nilimsikia vizuri sana, alisema si lazima kumuomba Mungu kwenye mikutano ya hadhara. Akiwa na maana kuwa, kwa sababu za kiusalama unaweza kumuomba Mungu bila kuwa kwenye mikutano ambayo ni hatari. Tena alirudia mara mbili lakini wale waandishi kwa sababu ya ushabiki...
  13. M

    Crdb bank update - july 2014,

    Endelea kufuatilia utafanikiwa tu, usikate tamaa.
  14. M

    Ku-apply nafasi ya kazi zaidi ya moja secretariat ya ajira!

    Omba tu hakuna tatizo. Mara nyingi muda wa Interview unakuwa tofauti, lakini inafanyika siku moja. Mwanangu ameomba mbili na zote amepata, zinafanyika siku moja ila muda tofauti. Jaribu bahati yako usiiachie.
  15. M

    Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

    Naomba sana unisaidie hayo maswali ya Oral. Mwanangu ameitwa kwa mara ya kwanza na hajawahi kufanya interview. Nadhani akiyapata yatamuongoza namna ya kujibu hata kama si hayo. MUNGU AKUBARIKI SANA
Back
Top Bottom