Ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na rafiki yangu kipenzi aitwaje Mayasa alifurahi kuniona nami pia tuliongea mengi sana pia ila akanisimulia hali yake ya ndoa "
Mayasa: MAYANGA nimefurahi kukuona binafsi hapa ndio napo ishi mda wote hushindi humu bila kutoka kwenda hata kwa jirani nimekuwa...
Unajua kila jambo Ni kujitoa kwa mfano unapofanya biashara ya duka mm nadhano ni jbo lakuajiri mtu akuuzie ila ww utatakiwa kila unapotoka kazini unapitia dukani kufunga hesabu lakini jambo la muhimu ni kumuamini mfanyakazi wako maana sio kila utakuwa na mda ,,,,au unaweza kuwekeza kwenye...
Shida sio uswahili bali ni idadi kubwa ya wanafunzi katika wilaya ya temeke maana kwa waliojiunga kidato cha kwanzo shule yenye idadi ya ndo ya wanafunzi ni 400 na idadi ya kubwa ni 1000 kwa kidato cha kwanza
Mambo yamekuwa tofauti sana yombo imekuwa na makundi maarufu sana ya kiharifu ambayo dar es salaam nzima yanajulikana mfano mkubwa panya road ambalo kundi hili linaundwa na vijana ambao asilimia kubwa walipaswa kuwa shule na limekuwa likifanya matendo ya kiharifu hadharani kabisa kundi hili...
Temeke ni moja ya wilaya ya dar es salaam mara nyingi imekuwa ikishika nafasi ya mwisho kimkoa .Jambo ambalo tunaweza jiuliza kwanini temeke kila mara inakuwa ya mwisho lakini jibu ni kwamba wilaya ya temeke ni wilaya yenye idadi kuwa ya watu Dar es salaam.
Je idadi inaweza kuwa sababu ya kuwa...
Je, nini maana ya uzalendo? Je ni kweli uzalendo unapatikana kwa kutodai stahiki zako?
Uzalendo ni hali ya kuipenda, kuithamini na kujitolea kwaajili ya kabila, tamaduni na nchi yako .wikipedia
Je uzalendo unalamishwa?
Kuna tabia ambayo hata ww unaweza kutoipenda ambayo pale unapojitoa kufanya...
Hapana inabidi umpe taarifa zote kwa usagihi maana mahojiano yatafanyika kwa kuzingatia sheria ya takwimu ya na.351 kuwa taarifa zote unazotoa ni siri na zitatumika kwaajili ya madhumuni ya kitakwimu tu wala si vinginevyo
Binafsi naona haikosawa maana ,,,hisabati msaada mkubwa sana kwa mfano mwanasanaa (arts) anaweza soma egm hge lakini pia anaweza kwenda chuo soma accountance lakini pia biolojia itamsaidia kusoma community health nursing attendant ivyo hoja za bado sioni kama zinatija kwa maslahi mapana ya...
Elimu ni kitendo cha kuamisha ujuzi kutoka kwa mtu mmoja(mwalimu) kwenda kwa mtu mwingine (mwanafunzi). Ili tuseme mtu ameelimika tutampima kwa mabadiliko ya tabia baada ya kupata elimu mfano kujenga choo unapopewa elimu ya umuhimu wa choo, kutumia elimu kutatua changamoto zinazokuzunguka katika...
Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kujusanya, kuchambua na kusambaza takwimu zakidemographia , uchumi na kijamii kuhusiana na watu wote nchini na makazi yao kwa kipindi maalumu.kwa Tanzania tunafanya sensa kila baada ya miaka kumi (10)
Kwanini tukubalia kuhesabiwa kwa kutoa taarifa...
Sensa ni utaratibu wa kukusanya kuchakata na kusambaza taarifa za watu wote na makazi katila kipindi maalumu . Je Kuna umuhimu wa kuhesabiwa ? Jibu ndio umuhimu upo sana kwasababu inatusaidia kutathmini hali ya uchumi ya sasa.
Inasaidia kujua idadi ya waliosoma na wasio soma pia kujua idadi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.