Labda kila Mtu ana namna yake ya kutathmini mechi. Ila kwangu naona tulizidiwa mbinu tu na mechi ikawa mzigo mzito kwa Wachezaji, tutawalaumu Wachezaji bure bila ya sababu.
Hakika Inauma, mimi mwenyewe ile siku nilibaki ukumbini nimeduwaa sielewi kilichotokea utadhani nasubiri kipindi cha tatu mechi iendelee walau tupunguze hata mbili.
Wangedeka tu ni afadhali, sasa wanataka kuvunja kabisa timu kwa mambo ya kijinga kabisa.
Kule England juzi juzi hapa Totenham kapigwa na Chelsea, jana kapigwa na Wolves, sasa nao wachanganyikiwe kisa kupoteza mechi mbili?.
Ni Mamluki hao, Shabiki wa kweli hana akili hizo.
Mfano hili la kuwatuhumu Wachezaji kabisani ajenda iliyopenyezwa na maadui, na Simba tunapokea tuna na kwenda nalo kama dodoki linavyofyonza kila kitu.
Kumezuka mtindo wa baadhi ya Mashabiki kujiona kwamba wao ndio Mashabiki wenye haki au bora au kindakindaki sana kuliko Mashabiki wengine.
Kila jambo wao wanataka kuliongelea hata kama hawana chochote wanachofahamu kuhusina nalo.
Ni ushabiki gani huu wa kushindwa kukubali timu kupoteza au...
Nipo upande wa Mzazi.
Nadhani ungekidhi vigezo vya kukupatia bure angekupa.
Kama umekipenda lipa pesa, au la kanunue kwingine.
Sanasana omba akupunguzie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.