Nadhani Watu tuna miss point ya msingi hapa.Na wengine wanamlaumu Mleta uzi kwamba ana wivu.Kikubwa ni kwamba hilo duka ni la kurahisisha uuzaji wa bidhaa zao wanazozalisha China.Huwezi kukuta kuna bidhaa ya kwetu au kwingine.Ndio kusema hata kama hump kipo cha elfu kumi kitafidiwa na bidhaa...
Pumziko La Amani Wapate hao Marehemu. Huenda ni matokeo ya kutokupumzika.Gari ni mashine tu inayokufuatisha wewe Binaadamu unaitumiaje,haitakwambia sasa umechoka na unaanza kusinzia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.