Recent content by May Day

  1. May Day

    Shairi: Sauti ya Dahuu

    Happy besdey Dahuu.
  2. May Day

    TMA yasema mvua kubwa kunyesha Dar es Salaam kwa siku 4 kuanzia Jumatano Nov. 15, 2023

    Nikisikia habari ya mawimbi makubwa kama nina safari ya kwenda Zenji nahisi kuchanganyikiwa, natamani kungekuwa na usafiri wa Basi kwenda Zenji..
  3. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Na kama ile ya Baleke ingekuwa Goli stori ingekuwa tofauti...sidhani kama ingefikia kuwa mbaya vile.
  4. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Na sasa wapo wanasheherekea huko, hii yote kuwatia hasira mzidi kuvurugana...msikubali.
  5. May Day

    Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

    Nyie fakamieni tu na huu msimu wa mvua hamkawii kunyweshwa supu ya Vyura.
  6. May Day

    Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

    Nyie fakamieni tu na huu msimu wa mvua hamkawii kunyweshwa supu ya Vyura.
  7. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Huko Jangwani siji, hiyo supu sina imani nayo.
  8. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Labda kila Mtu ana namna yake ya kutathmini mechi. Ila kwangu naona tulizidiwa mbinu tu na mechi ikawa mzigo mzito kwa Wachezaji, tutawalaumu Wachezaji bure bila ya sababu.
  9. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Sio wote tuombe radhi, ila kuna Wachache wanaosumbua wengine..tupo wenye akili na kujua maana ya kushindana.
  10. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Ndio tunasema hivyo.
  11. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Hakika Inauma, mimi mwenyewe ile siku nilibaki ukumbini nimeduwaa sielewi kilichotokea utadhani nasubiri kipindi cha tatu mechi iendelee walau tupunguze hata mbili.
  12. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Wangedeka tu ni afadhali, sasa wanataka kuvunja kabisa timu kwa mambo ya kijinga kabisa. Kule England juzi juzi hapa Totenham kapigwa na Chelsea, jana kapigwa na Wolves, sasa nao wachanganyikiwe kisa kupoteza mechi mbili?.
  13. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Ni Mamluki hao, Shabiki wa kweli hana akili hizo. Mfano hili la kuwatuhumu Wachezaji kabisani ajenda iliyopenyezwa na maadui, na Simba tunapokea tuna na kwenda nalo kama dodoki linavyofyonza kila kitu.
  14. May Day

    Simba mnatolewa kwenye mstari na Ushabiki wa kijinga

    Kumezuka mtindo wa baadhi ya Mashabiki kujiona kwamba wao ndio Mashabiki wenye haki au bora au kindakindaki sana kuliko Mashabiki wengine. Kila jambo wao wanataka kuliongelea hata kama hawana chochote wanachofahamu kuhusina nalo. Ni ushabiki gani huu wa kushindwa kukubali timu kupoteza au...
  15. May Day

    Je, ni sahihi mzazi kumuuzia mwanae kiwanja?

    Nipo upande wa Mzazi. Nadhani ungekidhi vigezo vya kukupatia bure angekupa. Kama umekipenda lipa pesa, au la kanunue kwingine. Sanasana omba akupunguzie.
Back
Top Bottom