Hapa nilipo mpakani mwa mkoa wa Ruvuma na Mtwara, korosho kangomba 1,200 mpaka 1,300. Kwenye maghala unakouzia bei zinacheza siyo zaidi ya 1,950 ukitoa makato yote ya halmashauri pamoja na maghala (250-300) utapokea 1,700 - 1,750 kwahiyo faida kwa kila kG1 ni 400-450, Kama utanunua mwenyewe kwa...