Sijui unataka ushauri gani ila mm nimenufaika sana na kuwa na utulivu.. kina mambo mengi ambayo ningewahi au kuharakia yangenichenjia ila nimesubiria sana na imenilipa sana aisee..
Ile yohana 14 nina miaka na miaka ndo mstari wangu pendwa.....
"Mnamwamini Mungu, niaminini na mimi..."
Yesu atakuja mara ya pili kutuchukua na maswaibu yote ya ulimwengu yatakoma. Tumuamini yeye aliye na uhakika na makao yetu ya milele
Kuhusu kuhubiri pesa na mali sioni tatizo.. maana wanamuomba Mungu kupitia jina la Yesu awape mafanikio ya kiuchumi.
Kuhusu usasa kanisani pia sioni tatizo maana tunatumia spika,maiki na teknolojia kedekede ili kusongesha injili mbeleeee
Kuhusu wanawake kuwa wahubiri pia sio kesi. Hayo ni maoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.