Recent content by max60

  1. M

    JamiiForums Tanzania Usikubali kulipwa uandamane ,kuna watu wamepanga kupiga waandamanaji na pesa haiwezi kurejesha uhai.

    Ila hii nchi ujue haina siri.. kama ni KWELI kuna mkwanja unapita kitaa ili wana wakiwashe hii taarifa ingefika mtaani chapu na kuna shuhuda za kweli tungeziona ila mm sjawai skia jambo la mtu kulipwa tangia 29/10 ile. Na nlikiwa eneo kwenye kiini cha maandamano aisee
  2. M

    JamiiForums Tanzania Umasikini ndio chanzo cha wanawake wengi kuwa malaya na ombaomba kwenye mahusiano yao.

    Hadi watoto wa madoni wenye pesa pia wanataka hela tofauti ni kuwa hawaombi.. unatakiwa ujiongeze mwenyew na usipofanya ivo penzi ata wiki alitoboi.. ukimpata unatoka nae out unalipia kila kitu unampa zawad iphone 17+ unamfanyia mambo ambayo ni zaid ata ya aisha wa mtaani ambae unamhonga 100k...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nilishawahi kuleta mada kuwa balozi za tanzania hakuna msaada watakao kupa.Ukipata tatizo pambana wewe mwenyewe.

    Hao jamaa wamezakia tu huko hawako uko kihalali na wengi wanauza ama kusambaza madawa... Unataka ubalozi uwasaidie ao wahuni ili iweje?? Ubalozi unatoa msaada kwa anaeenda mara ya kwanza ukifika kama una jambo linahitaji usaidizi au kibali kimeisha uelewi elewi sio hoa jamaa wa sauzi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Tumekamata mtu ameahidiwa dola milioni 1 endapo watu wengi watakufa - Kinachotafutwa ni rasilimali

    Labda sielewi vizuri,, ila 'mabeberu' wana ulazima gani wa kusababisha mauaji ya watu ili wachukue rasilimali ilihali wanaweza kuchukua bila kusababisha maandamano!!? Na wamekuwa wakizichota miaka yote hii😑
  5. M

    JamiiForums Tanzania " Pepo" ya Mashahidi wa Yehova (Jehovah Witnesses) ndio pepo bora kuliko zote

    Hao jamaa si ndio wale wanagawa vitabu??
  6. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Mm nlikiwa fom6 bwenini usiku gafla nlizidiwa na homa ya ajabu nikaenda hospitali ya mkoa huo. Hiyo ilikuwa ijumaa alafu j3 mtihani wa taifa wa f6 unaanza... Terrible incident sitasahau
  7. M

    JamiiForums Tanzania Its 2026, elon musk anatengeneza kifaa cha kusaidia vipofu kuona meanwhile bongo bado mambo ni haya

    Sisi inabido kwanza tupambane na umasikini kwa kuwa na serikali yenye akili timamu. Alaf mambo mengine mdogo mdogo
  8. M

    JamiiForums Tanzania Which are the most influential IDs in Jamii Forums?

    Kulikuwa na jamaa "mti mkavu" yupo kweli??
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa na Polisi bila hatia

    Wangekuua kabisa mkuu,, apo ushukuru tu uko hai basi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hayati Mwalimu Nyerere, baba wa Taifa la Tanganyika alifanya mambo mengi na makubwa lakini Muungano na Zanzibar ulikuwa uamuzi mbaya

    TANGANYIKA HAIKUTAKIWA KUUNGANA NA Z'BAR ILA ILITAKIWA KUITAWALA NA KUICHUKUA KUWA SEHEMU TU KAMA MKOA AU WILAYA.. NA KAMA NYERERE ALIOGOPA KUFANYA IVO ANGEWAACHA TU.. HUU MUUNGANO NI UPUUZI
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mpoki: Nilitarajia waliomuua MC Pilipili wangekuwa wameshakamatwa

    Uyu nae si chawa uyu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ma brother wa miaka 35+ hebu tupeni wadogo zenu, ushauri wowote wa kuhusu maisha

    Sijui unataka ushauri gani ila mm nimenufaika sana na kuwa na utulivu.. kina mambo mengi ambayo ningewahi au kuharakia yangenichenjia ila nimesubiria sana na imenilipa sana aisee..
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mstari gani wa BIBLIA umegusa maisha yako?

    Ile yohana 14 nina miaka na miaka ndo mstari wangu pendwa..... "Mnamwamini Mungu, niaminini na mimi..." Yesu atakuja mara ya pili kutuchukua na maswaibu yote ya ulimwengu yatakoma. Tumuamini yeye aliye na uhakika na makao yetu ya milele
  14. M

    JamiiForums Tanzania Pentekoste iliyochangamka

    Kuhusu kuhubiri pesa na mali sioni tatizo.. maana wanamuomba Mungu kupitia jina la Yesu awape mafanikio ya kiuchumi. Kuhusu usasa kanisani pia sioni tatizo maana tunatumia spika,maiki na teknolojia kedekede ili kusongesha injili mbeleeee Kuhusu wanawake kuwa wahubiri pia sio kesi. Hayo ni maoni...
Back
Top Bottom