Recent content by max60

  1. M

    Ma brother wa miaka 35+ hebu tupeni wadogo zenu, ushauri wowote wa kuhusu maisha

    Sijui unataka ushauri gani ila mm nimenufaika sana na kuwa na utulivu.. kina mambo mengi ambayo ningewahi au kuharakia yangenichenjia ila nimesubiria sana na imenilipa sana aisee..
  2. M

    Mstari gani wa BIBLIA umegusa maisha yako?

    Ile yohana 14 nina miaka na miaka ndo mstari wangu pendwa..... "Mnamwamini Mungu, niaminini na mimi..." Yesu atakuja mara ya pili kutuchukua na maswaibu yote ya ulimwengu yatakoma. Tumuamini yeye aliye na uhakika na makao yetu ya milele
  3. M

    Pentekoste iliyochangamka

    Kuhusu kuhubiri pesa na mali sioni tatizo.. maana wanamuomba Mungu kupitia jina la Yesu awape mafanikio ya kiuchumi. Kuhusu usasa kanisani pia sioni tatizo maana tunatumia spika,maiki na teknolojia kedekede ili kusongesha injili mbeleeee Kuhusu wanawake kuwa wahubiri pia sio kesi. Hayo ni maoni...
  4. M

    Ni Movie ipi uli iangalia zaidi ya mara moja ila bado hukuielewa vizuri?

    MEMENTO INCEPTION TENET TRIANGLE
  5. M

    Kesho simba atashinda huu ndo utabiri wangu

    Ungeweka ka ahadi flan ili tukutafute gemu ikiisha boss... Munatoa Nini??
  6. M

    Kabla hujakubali kuolewa ama kumuoa mtu, fanya naye maongezi marefu mjadiliane mambo ya msingi Kuhusu Maisha

    Ushauri mzuri mkuu.. sema ndoa saiv zinafeli ata kama ayo yooot yakizingatiwa
Back
Top Bottom