Recent content by Max Marketer

  1. Max Marketer

    Tukutane hapa wapenda ujasiriamali

    Ujumbe mzuri sana boss shukrani
  2. Max Marketer

    "Nimetumia zaidi ya 20,000 katika matangazo lakini sijapata Faida, nifanyeje?" - JINSI NILIVYOMSHAURI

    0752226475 .... Nitumie ujumbe whatsapp kuna additional benefits ambazo kila mteja wa e-book anapata ikiwemo my personal support katika mchakato wa kufanya sponsored ads vizuri... Bei 10,000/= Tu
  3. Max Marketer

    Tushirikishe na sisi ni kwa namna gani uliweza kufanikiwa

    Congratulations boss keep going forward
  4. Max Marketer

    "Nimetumia zaidi ya 20,000 katika matangazo lakini sijapata Faida, nifanyeje?" - JINSI NILIVYOMSHAURI

    Habari za leo wakuu, Leo nimerudi tena and hopefully tutakuwa pamoja kuendelea kujifunza kuhusu social media marketing and advertising Leo nataka nishee nanyi jibu ambalo nililitoa baada ya kuulizwa na mfanyabiashara ambaye nilimfundisha kufanya sponsored ,alikuwa hafahamu kabisa lakini...
  5. Max Marketer

    Jifunze Njia rahisi ya kufanya Sponsored ads na kunasa wateja wengi zaidi online (E-BOOK)

    Je, biashara yako inahangaika kupata wateja wa kutosha Online? ...Je, unafanya matangazo ya sponsored lakini hayakuletei wateja kama unavyotaka? Unaishia kupata likes tu Je,unatamani kweli kufanya Sponsored lakini hujui pa kuanzia wala pa kujifunzia?? Najua unafahamu kabisa kuwa wateja wako...
  6. Max Marketer

    Tupeane dondoo kuhusu online business - Sehemu ya kwanza

    Congrats boss.. Waiting for part two.
  7. Max Marketer

    Marketing Quotes Daily: Pitia hapa uongeze kitu

    Nitumie ujumbe whatsapp 0752226475
  8. Max Marketer

    FREE TRAINING : Jifunze Social Media Marketing na Jinsi ya Kupata Wateja Zaidi Online (3 days)

    Kama wewe ni mfanyabiashara, na biashara yako imekua sana,unapata wateja wa kutosha online, unafahamu jinsi ya kufanya matangazo yanayorudisha faida , basi hii sio kwa ajili yako Lakini kama unatamani kufikia hatua hiyo, basi nipende kukukaribisha ktk Free online Training nitakayoitoa kuanzia...
  9. Max Marketer

    Marketing Quotes Daily: Pitia hapa uongeze kitu

    Marketing ina mchango mkubwa sana ktk kukuletea wateja na kuikuza biashara yako "Marketing sio sales" Wengi tunapenda na tunatamani kuuza, lakini tambua mteja hapendi kuuziwa (Customers don't like to be sold,they like to be helped to buy) Mteja anapenda asaidiwe kununua,.. Na hiyo ndiyo...
Back
Top Bottom