Unafiki mtupu mmeshimdwa kupigania wananchi waone bunge live,hili la utekaji na mauwaji utaliweza!!!Tumeshuudia mkuu anamwambia spika awashuulikie bungeni na yeye atafanya hvyo huku nje.So wewe unataka kufanya non hapo zaidi na wewe utashuulikiwa.Isitudanganye ccm wote lenu moja.
Huwa napenda au najikuta napitia kuangalia kipindi cha tuongee Asubuhi. Napenda sana nikikuta mijadala ya kisiasa, siku za hivi karibuni nimeona watangazaji nao wakijigeuza wachambuzi na kuegemea upande mmoja.
Mfano utakuta Mwanza sana mgeni kutoka CCM anayeunga mkono serekali na Dar es salam...
Naona Mkuu wa mkoa analeta siasa za Maji taka Arusha,kitendo cha kutompa Mh Lema kuwapa pole wapiga kura wake ni Cha kitoto na ushamba uliopitiliza.
Ccm ilishakufa hapa Arusha siku nyingi nanikutokana na siasa zenu za ubaguzi naona hili somo hamjalielewa kwa nini Arusha hamkubaliki.Ndo maana...
Gwajima anoa ushaidi pia ukienda clouds Dana video ya bashite kuvamia studio.Sasa sijui unataka ushaidi gani.kianachotakiwa mtuumiwa aje akanushe kw a kuweka vyeti.
Hivi waingizaji na watumiaji ni Nani anayestahili kukamatwa? Mtaani mateja wamejaa tuu kama kuwakamata ndo mtamaliza tatizo sidhani kama mtafanikiwa. Eti wabunge wapimwe!!! Hv unaweza kunilazimisha kupima kitu kwenye mwili wangu bila ridhaa yangu? Ni raha na burudani kuongoza watu wasio Tambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.