Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,834
Naye wakampime ustaarabu wa nyuma sababu inasemekana Marinda wametatua By SUGU moto chini
Kipi alichofanikiwa Makonda katika mkoa wa DSM? Mana panda mti imekufa kifo cha mende,oparesheni ondoa ombaomba hamna kitu,shisha na mashoga vimeshamili kwa DarBaadhi ya Wabunge walipomtuhumu Makonda walikuasahii!! ila Makonda anapomkumbushia Spika kuhusu kauliyake yakuwekavifaa vya kuwapimaWabumge kama wanatumia madawayakulevya anakosea!!
Sasa napata picha kwanini Makonda sikuzote anafanikiwa kwenye kazizake. nikwakua sikuzote anasemaukweli. Mungu sikuzote anasimama upande wa haki. Uwezi leo umwitemtu fisadi alafu kesho usimame mbeleya umma wa Mwenyezi Mungu ukimsafisha kinafiki yule uliyemtuhumu.
Munguwahaki apendi mizaha, mwangalie Lema kaulizake zinavyomtesa, jamani Mungu hataniwi.
Dogo anafika mbali sana hii nguvu anaitoa pale MAGOGONI...Hii Makonda atakuwa amewadharau wote walio mle Bungeni. Kwani kama unataka kupima wabunge basi unamaanisha wote waliopo mule lazima wapimwe. Spika na naibu wake lazima wapimwe, Majaliwa kama Mbunge atapimwa, Ag na mawaziri wote lazima wapimwe kwani huwezi kubagua.
Hilo ni utovu wa nidhamu wa Makonda kwa mabosi wake yaani PM na mawaziri. Amewadharau labda kwa vile ana urafiki na mteuzi mwenyewe.
Nini wewe mtumia ngada, yaani kwa vile mtu amekuwa mbunge ndio awe juu ya sheria ? M/kiti wenu amewaharibu kwa madawa nyie ufipa camp, sasa naanza kuamini yani huwezi kuwa mzima wewe poda limekuharibu ubongo. Ata Rais kama vipi apimwe tu wachia mbali PM. Lengo ni kuwa na viongozi wasafi wasokula wala kuuza hutaki hama nchi.Hii Makonda atakuwa amewadharau wote walio mle Bungeni. Kwani kama unataka kupima wabunge basi unamaanisha wote waliopo mule lazima wapimwe. Spika na naibu wake lazima wapimwe, Majaliwa kama Mbunge atapimwa, Ag na mawaziri wote lazima wapimwe kwani huwezi kubagua.
Hilo ni utovu wa nidhamu wa Makonda kwa mabosi wake yaani PM na mawaziri. Amewadharau labda kwa vile ana urafiki na mteuzi mwenyewe.
RC Makonda amemkumbusha Spika wa Bunge kuhusu kuweka vyombo vya kuwapima nani anatumia au alikwisha kutumia madawa ya kulevya.
Naamini hilo mtalipinga kwa nguvu zenu zote na kumtaka RC Makonda ajieleze kwenu, ati kwa kuwadharau. Lakini tunawaamini kuwa mtakuwa kitu kimoja kukubali kupimwa ili kulinda heshima yenu na ya Bunge.
Hakuna anye pinga hilo ila kinacho pingwa ni makonda kujivika utukufu na ukuu hadi kwa mabosi wake na mihimili mikubwa kuliko mamlaka yake bila kujijua.Dharau ipi waihusisha na Makonda wakati alikuwa anarejea wazo la Spika kuweka kipimo kwa Wabunge wake!
Sishangai baadhi yetu humu jamvini kupinga Wabunge kutokupimwa matumizi ya unga, wakati ndo watunga sheria na wasimamizi wa utendaji wa Serikali.
Wakiwa mashujaa, kujiamini na kuonesha uadilifu wao, wakubali pia kupimwa magonjwa mengine ambukizi kama UKIMWI.
Makonda kapima lini? Apimwe kwanza yeye.CDM wata andamana kupinga hilo
Dharau ipi waihusisha na Makonda wakati alikuwa anarejea wazo la Spika kuweka kipimo kwa Wabunge wake!
Sishangai baadhi yetu humu jamvini kupinga Wabunge kutokupimwa matumizi ya unga, wakati ndo watunga sheria na wasimamizi wa utendaji wa Serikali.
Wakiwa mashujaa, kujiamini na kuonesha uadilifu wao, wakubali pia kupimwa magonjwa mengine ambukizi kama UKIMWI.
RC Makonda amemkumbusha Spika wa Bunge kuhusu kuweka vyombo vya kuwapima nani anatumia au alikwisha kutumia madawa ya kulevya.
Naamini hilo mtalipinga kwa nguvu zenu zote na kumtaka RC Makonda ajieleze kwenu, ati kwa kuwadharau. Lakini tunawaamini kuwa mtakuwa kitu kimoja kukubali kupimwa ili kulinda heshima yenu na ya Bunge.
Ngoja tuone nani zaidi kondakta au mmoja Wa wamiliki Wa bus kati ya wamiliki watatuKatika hotuba ya makonda sehemu mojawapo aliyokosea ni hapo. Moja yeye ni mkuu wa mkoa wa Dar hivyo alipaswa kujikita kwenye mikakati ya mkoa wake lakini amejisahau akajua yeye ni kamishana
Pili bunge ni mojawapo ya mihimili mikuu ya jamhuri kama alitaka kusema juu ya mihimili basi angesema na mahakama hata ofisi kuu watu wachunguzwe kwa kushambulia bunge peke yake kutamletea mgogoro.