Asante sana mkuu kama nakuelewa hivi maana nimeliota leo mida hiyo hiyo anayoisema jamaa sasa nikaona nitafute kwa mitandao ndo nakutana na hiki na michango ya wenye akili timamu pamoja na wenye akili
Sijui history vizur nilisikia zaman kulikuwa kunatolewa vibao fulan ili kufanya kitu fulan zile enz za utumwa sijui sasa kama ndo tunaanza kurud huko au ata sikumbuku vizur ngoja nitamtafuta mwalim wangu wa history
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.