Habari zenu wakuu ,samahani naomba kuuliza wapi nitapata chimbo la urembo wa ndani maua, saa na kikorokoro vyote kwa kwa kariakoo ili na mm niuze huku niliko ?
Natanguliza shukrani
Habari waungwana ,natamani kujumuika katika biashara ya uuzaji wa vitambaa hivi vya wakina mama ambao umeshamiri na mita moja inauzwa sh 5000
Niko Dodoma, mwenye uzoefu na biashara hii na mahali wanapochukulia naomba muongozo
Pole sana ifike hatua jinsia zote ziyatambue maumivu ya usaliti usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwingine
Moyo wa kike na kiumeni vyote vimeumbwa na ego
Hebu kuwa muungwana usiharibu maisha ya watu halafu baadae uje kuponda ma single mothers,
Yaliyotokea yameshatokea chukua majukumu kama mwanaume pambana kwani kusoma ndio nn,
Tatizo uvulana bado unakusumbua unataka vilivyogharamiwa ,kujituma huwez
Hajatumia akili kwasababu huyo ni mama wa watoto wake ,vp akikwama anadhan huyo mkewe mwingine atasapoti watoto wake na Jenifer,
nadhan angemshukuru Jenifer kwasababu licha ya kusalitiwa aliendelea na maisha yake kimya ,alichotakiwa kufanya ni kumuelewa kwasababu moyo wake ulijeruhiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.