Kuna chumba na sebule choo ndani na kijiko kidogo haina fensi.Ipo kimara kona kituo cha pili toka ubungo.Ipo barabarani.Bei 120,000/= kodi miez sita ukiitaji pm
Enyi wanadam jichungeni ndimi zenu kuwanena mabaya wa2mishi wa Mungu..hata kama kunaanalokosea sio jukumu lenu kumnyoshea vidole muachieni aliye mwita atamuhukumu Mwenyew.Mungu ana namna yake ya kudeal n watu wake ebu tumwachie Mwenyewe.Tukumbuke kilichowapata Miriamu na Haruni walipomnena...
Tunauza samaki wazuri sn toka kanda ya ziwa,sato na sangara.Tunauza jumla na rejareja na bei zetu ni nzuri sana.Tupo kimara mwisho tunatazamana na stand ya magari ya kwenda mjini.Kuanzia kg 10 tunakuletea popote ndani ya dar.0758/0717373037
Habari wana jamvi!Kwa wale wapenzi wa samaki karibuni samaki wa maji baridi sato na sangara.Tunauza jumla n rejareja.Tupo kimara mwisho tunatazamana na stand y magari ya kwenda mjini.Bei zetu ni nzuri sn karibuni.0758/0717373037
Chumba
self na sebule na jiko pia kuna choo cha nje kwaajili ya wageni.Kimara
baruti nyumba zinazotazama morogoro road.150,000/=kwa mwezi,kodi ya
miezi 6. 0758373037
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.