Na Putin akiipata Ukraine kwa zile raslimali itakuwa tajiri kuliko na Putin anamezea mate kile Trump anachokitaka lakin NATO na Biden walizuia hilo lakin mzee wa madili Trump anazitaka
Sio kawaida Na hasa Kwa tukio gumu la kinyama Na kufedhehesha tena likimuhusisha anayetajwa kuwa ni Padre wa Kanisa Katoliki huko MKOANI Kagera.
TAARIFA Mbao zimekuwa nyingi sana Kanisa linawajibika kuweka Sawa hali halisi ilivo.
PIA SOMA
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko...
Yaaani Huyo Polisi apambane kumbaini mhalifu mpaka kafanikiwa kuwakamata tena Wakiwa Na viungo, badala aendelee kukomaa apate ushahidi wa kutosha juu ya Uhusika wa watuhumiwa hao Na MAUAJI ya Mtoto wetu Asimwe aanze kuwa busy eti ni Padre Au sio Padre huu ni utahira!!
Kwasisi tuliowahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.