Kwa kweli airtel wahudumu wake wanadhalau sana sana sana tena sana mimi airtel nina miaka 17 toka celtel ila hawa wa sasa hapana pangekua wanaweza wakabadilishana na voda au tigo mwezi mmoja tu wangenyooka ukipiga simu wakipokea same time wanakata wakipokea kama hamuelewani nao wanakwambia...
Huyu mwanamke pamoja na kusachi simu zake lazima alikua na cheap yenye simu nyingini anaicha sehemu kama sio kazini ktk ofisi za biashara zake na kuhusu mitandao ya kijamii atakua alifungua jina lingine kabisa,mkuu mungu anisamehe lakini kwa uwamuzi unaoufanya mimi nakuongezea akufai hata kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.