Natafuta msichana mwenye VVU

Natafuta msichana mwenye VVU

Habari zenu,

Nahitaji msichana mwenye VVU umri miaka 25-30 ili awe mke wangu, mimi pia nina VVU, nipo serious jamani.
Kwa msichana aliye serious anitafute kwa namba 0756425942

Duh! dunia imebadilika, sijawahi ona wala kusikia,
 
Habari zenu,

Nahitaji msichana mwenye VVU umri miaka 25-30 ili awe mke wangu, mimi pia nina VVU, nipo serious jamani.
Kwa msichana aliye serious anitafute kwa namba 0756425942

Nenda hospitali mnazi mmoja, kitengo cha waathirika wanapopewa dawa ulizia mama brian then umweleze haja yako pamoja na hali yako. utampata mke mzuri tu mwenye vvu.
this is not a joke
 
Nenda hospitali mnazi mmoja, kitengo cha waathirika wanapopewa dawa ulizia mama brian then umweleze haja yako pamoja na hali yako. utampata mke mzuri tu mwenye vvu.
this is not a joke

Umempa neno jema
 
Nenda hospitali mnazi mmoja, kitengo cha waathirika wanapopewa dawa ulizia mama brian then umweleze haja yako pamoja na hali yako. utampata mke mzuri tu mwenye vvu.
this is not a joke
Kama sio utani hili ni jibu zuri sana
Ninafahamu ndoa kama 4 ambazo ziko vizuri sana na walikutanishwa na wahudumu wa CTC couple 1 ina watoto 3 sasa hivi wako.
Hata kama hii ya mnazi mmoja haikuzaa matunda tafuta mhudumu wa CTC akuunganishe na mtu mzuri mwenye kujitambua mwenye kuwaza mbele na anaefuata masharti ya wataalamu
 
Nenda hospitali mnazi mmoja, kitengo cha waathirika wanapopewa dawa ulizia mama brian then umweleze haja yako pamoja na hali yako. utampata mke mzuri tu mwenye vvu.
this is not a joke
Kama sio utani hili ni jibu zuri sana
Ninafahamu ndoa kama 4 ambazo ziko vizuri sana na walikutanishwa na wahudumu wa CTC couple 1 ina watoto 3 sasa hivi wako.
Hata kama hii ya mnazi mmoja haikuzaa matunda tafuta mhudumu wa CTC akuunganishe na mtu mzuri mwenye kujitambua mwenye kuwaza mbele na anaefuata masharti ya wataalamu
 
Kama sio utani hili ni jibu zuri sana
Ninafahamu ndoa kama 4 ambazo ziko vizuri sana na walikutanishwa na wahudumu wa CTC couple 1 ina watoto 3 sasa hivi wako.
Hata kama hii ya mnazi mmoja haikuzaa matunda tafuta mhudumu wa CTC akuunganishe na mtu mzuri mwenye kujitambua mwenye kuwaza mbele na anaefuata masharti ya wataalamu

Aiseee.
 
Kama sio utani hili ni jibu zuri sana
Ninafahamu ndoa kama 4 ambazo ziko vizuri sana na walikutanishwa na wahudumu wa CTC couple 1 ina watoto 3 sasa hivi wako.
Hata kama hii ya mnazi mmoja haikuzaa matunda n tafuta mhudumu wa CTC akuunganishe na mtu mzuri mwenye kujitambua mwenye kuwaza mbele na anaefuata masharti ya wataalamu

Sio utani mkuu Haika nimemaanisha yeye akifika pale akampata huyo mama atamsaidia sana
atampata mke mzuri wasomi wengi wanajielewa, ashindwe yeye tu kwenda hapo hospitali
Hajui ataanzaje aje pm.
 
Last edited by a moderator:
Kama sio utani hili ni jibu zuri sana
Ninafahamu ndoa kama 4 ambazo ziko vizuri sana na walikutanishwa na wahudumu wa CTC couple 1 ina watoto 3 sasa hivi wako.
Hata kama hii ya mnazi mmoja haikuzaa matunda tafuta mhudumu wa CTC akuunganishe na mtu mzuri mwenye kujitambua mwenye kuwaza mbele na anaefuata masharti ya wataalamu

Nadhani waliotoa ushauri huu wako sekta ya afya.
 
Kuna Bandiko La Dada Mmoja Humu Anaitwa Cutie M, Kama Bado Hujapata Mkuu bank statement Mtafute, Anaweza Faa Kabisa. Fuatilia Kuna Post Kama Hii Yako Humu Jukwaani!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom