Habari zenu wakubwa na wataalam wa afya. Nisaidieni hapa, niko kwenye mahusiano na binti mwenye huu ugonjwa wa thyroid na tayari uvimbe imeonekana shingoni kwa pande zote mbili, sasa nimekuwa nikimuuliza yale anayoambiwa akienda hosipitali lakini amekuwa muongomuongo, ananiambia anaambiwa...
Kenya unaingia bila kitu chochote. Bora tu uwe na 1000ksh ya kuhonga dereva ili usisumbuliwe njia. Na ukishaingia nairobi utatembea kila mahali bila shida
Niko Nairobi nchini kenya mkuu. Fanya uchunguzi kati ya biashara ya kuuza viatu, nguo, tv, sabufa au simu. Yenye utaipenda hapo uniambie nikutafutie chimbo za vitu za bei rahisi uwe unakujia hapa na ukienda kuuza utapata faida kubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.