Recent content by mattaryps

  1. mattaryps

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Dunia hii ni shida Mungu alipotutofautisha kufikiri tu ndo shida ilipoanzia mtu unategemea kupata Msaada mwingine hata mpango hana sehemu kubwa ya watanzania tunakula mihogo hata Kama wewe hujala babu zako wamekula
  2. mattaryps

    Nahitaji Kulima zao LA muhogo

    Wapendwa mnisiadie nahitaji Kulima muhogo maeneo ya Pwani panaitwa Bungu njia panda ya kwenda Nyamisati Kwa wanaofahamu maeneo hayo ikiwa ni pamoja na ardhi yenyewe inafaa au?
  3. mattaryps

    Natoa elimu namna ya kusindika maziwa

    Tusaidie Kwa kina Kabla ya kukutafuta please!
  4. mattaryps

    Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

    Ndo shida ya kuingia kwenye fani bila kuwa na elimu ya kutosha uelewa wao mzigo sana pamoja na mapungufu ya kisheria bado wao ni wachanga sana katika tasnia ya filamu watu wana miaka 800 kwenye filamu wao ndo kwanza hata miaka 10 bado ajabu sana wajipange upya
  5. mattaryps

    Vifungu mbalimbali vya Biblia vinavyopingana na ndoa ya Flora 'Kusekwa'

    Kuna kitu akijakaa sawa Mungu adhihakiwi na neno lake linasimama pale pale hata kwa wenye mzaha,ukisha jitoa kumtumikia Mungu ujue kuna gharama si tambarare kama wanavyoimba wengi ama kusema na wala hakuna vifungu vinavyopingana tatizo la wanandoa ni kutomjua wanaemtumikia kwa dhati na kuruhusu...
  6. mattaryps

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    tatizo ni dogo wametoka kwenye uhalisia wakaiga mambo ya nje watu na wakati hawawezi kulingana na technology ya dunia kwa sasa binafsi mimi hata movie moja ya kibongo sina zimejaa za nje tu zinazousuza moyo wangu sasa movie zetu utafikiri una angalia birthday ya mtu
  7. mattaryps

    Ibara ya 90 ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzani inaweza kuja kuleta majanga mwaka wa 2020

    Siasa zetu bado hasa vijana tunaishi kwa mihemko sana bendera fata upepo hatuwezi kuona na kujua tunaona nini zaidi ya chenga tu hata mfumo wetu wa siasa ni butu sheria butu,katika butu,elimu butu kila kona kuna shida tunahitaji kupata viongozi wanaoyajua hata ili kupata taifa imara kiuchumi
  8. mattaryps

    Ndesamburo ni kikwazo Uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini CHADEMA

    Kama yapo basi Sera na taratibu za chama zimewekwa pembeni ila nachoamini Chadema bado ina hazina kubwa ya wasomi na wenye uzoefu wanayajua hayo tuwaombe wayarekebishe hatutaki 2020 tubahatishe.
  9. mattaryps

    Anaandika kada mkongwe wa CCM kuhusu uamuzi wa Magufuli juu ya Makonda

    Ndugu Watanzania..<br /><br />Naandika hii thread kwa Uchungu sana..nikiililia Tanzania yangu, nchi yangu, motherland! <br /><br />Hv Nani aliyekuwa au anafurahia vijana wetu wakitumbukia ktk janga la madawa? Ni Nani huyo ajitokeze na aseme kwenye hii thread.<br /><br />Hv kwann watanzania...
  10. mattaryps

    Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

    We kujiunga siku tatu tu umempenda mtu ukikaa wiki je tulia fanya yako wasichana watakupoteza
  11. mattaryps

    Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo

    Kwani nyangumi unamtambuaje wawe wanafafanua ili tuone aliowataja ni vidagaa au nyangumi?
Back
Top Bottom