Recent content by Matindi94

  1. Matindi94

    Anahitajika mtu wa kuuza duka la dawa

    ANAHITAJIKA MTU WA KUUZA DUKA LA DAWA Duka lipo iringa wilaya ya kilolo Kigezo uwe na ADDO Jinsia ya kike Mawasiliano 0624817466
  2. Matindi94

    Ipi simu nzuri ya OPPO

    Vp kwa upande wa chaj inakaa sana kama oppo?
  3. Matindi94

    Ipi simu nzuri ya OPPO

    Mpya si ndio na mtumba je
  4. Matindi94

    Ipi simu nzuri ya OPPO

    Kwa 350000 hv naweza kupata 4/64 battery 5000????
  5. Matindi94

    Ipi simu nzuri ya OPPO

    Habari wanajamvi hivi kwenye kampuni ya oppo simu toleo gani zuri ambalo lina vigezo hivi 4ram 64gb Inayotunza sana chaji angalau yanye 5000mah Kamera nzuri Ambayo pia ni slim(yaani sio nene sana) NB; NIMEULIZA KWASABAB NAJUA KUNA WATUMIAJ HUMU WANAZIJUA VZR NATAK ILI NINAPOENDA DUKAN NIWE NA...
  6. Matindi94

    Ipi simu nzuri ya OPPO

    Habari wanajamvi hivi kwenye kampuni ya oppo simu toleo gani zuri ambalo lina vigezo hivi 4ram 64gb Inayotunza sana chaji angalau yanye 5000mah Kamera nzuri Ambayo pia ni slim(yaani sio nene sana) NB; NIMEULIZA KWASABAB NAJUA KUNA WATUMIAJ HUMU WANAZIJUA VZR NATAK ILI NINAPOENDA DUKAN NIWE...
  7. Matindi94

    Naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa kununua bidhaa mbali mbali online hasa ALIEXPRESS

    Habari za humu wanajukwaa Naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa kununua bidhaa mbali mbali online hasa ALIEXPRESS je maana sijawah kuagiza kwenye platform hii mm huwa natumia KIKUU kuagiza vitu vidogo vidogo kama memory,flash,eaphones tu Ubora wao bidhaa zao ni halisi kama zinavyookenana kwenye...
  8. Matindi94

    Utofauti kati ya watu wa Dar (Mijini) na watu wa Mkoani ndio huu

    Mbona stori ya kweli kabisa hiyo Umenikumbusha mbali sana mitaa ya Ramadhani kigamboni nimewahi ishi huko Ila maisha ya sasa watu wapo bize sana na town mambo ni mengi kwahyo kama mtu sio muelewa atadhan anadharauliwa kumbe hapana
Back
Top Bottom