Habari wanajamvi hivi kwenye kampuni ya oppo simu toleo gani zuri ambalo lina vigezo hivi
4ram
64gb
Inayotunza sana chaji angalau yanye 5000mah
Kamera nzuri
Ambayo pia ni slim(yaani sio nene sana)
NB; NIMEULIZA KWASABAB NAJUA KUNA WATUMIAJ HUMU WANAZIJUA VZR NATAK ILI NINAPOENDA DUKAN NIWE NA...
Habari wanajamvi hivi kwenye kampuni ya oppo simu toleo gani zuri ambalo lina vigezo hivi
4ram
64gb
Inayotunza sana chaji angalau yanye 5000mah
Kamera nzuri
Ambayo pia ni slim(yaani sio nene sana)
NB; NIMEULIZA KWASABAB NAJUA KUNA WATUMIAJ HUMU WANAZIJUA VZR NATAK ILI NINAPOENDA DUKAN NIWE...
Habari za humu wanajukwaa
Naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa kununua bidhaa mbali mbali online hasa ALIEXPRESS je maana sijawah kuagiza kwenye platform hii mm huwa natumia KIKUU kuagiza vitu vidogo vidogo kama memory,flash,eaphones tu
Ubora wao bidhaa zao ni halisi kama zinavyookenana kwenye...
Mbona stori ya kweli kabisa hiyo
Umenikumbusha mbali sana mitaa ya Ramadhani kigamboni nimewahi ishi huko
Ila maisha ya sasa watu wapo bize sana na town mambo ni mengi kwahyo kama mtu sio muelewa atadhan anadharauliwa kumbe hapana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.