Recent content by matical

  1. M

    Rais Samia: Tumuombe Mungu Marekani na Iran wazungumze misukosuko iishe, dunia irudi katika hali ya kawaida

    Mkuki kwa nguruwe, mbona yeye hakuomba Mungu na kukaa juu ya meza? Mbona alikataa muafaka badala yake akauwa maelfu ya wananchi wake?
  2. M

    JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu Viongozi Wakuu Wastaafu kwenye msiba wa Kadinali Pengo baada ya kushangiliwa

    Pascal huwa ana bidii ya kuwatetea sana hao Wahuni hata wakitenda maovu, wacha wampe somo kidogo
  3. M

    JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu Viongozi Wakuu Wastaafu kwenye msiba wa Kadinali Pengo baada ya kushangiliwa

    Bodi ya ithibati ndio nini? Hiyo "bodi" ni Kibaraka wa Mwigulu au Mwigulu amewanunua kumfanyia u CHAWA? Hizo ni sarakasi za kijima za kufunga watu midomo na kukiuka haki ya Kikatiba ya raia kutoa maoni
  4. M

    Katibu Mkuu BAWACHA, Pamela Maassay: Jeshi la Polisi halina mamlaka kutoa tafsiri ya kimahakama, tunampango kwenda Musoma kuadhimisha siku ya wanawake

    Yule kamanda wa Polisiccm Musoma ni mbumbumbu🚮. Yeye ndo anajaribu kufanya siasa kwa niaba ya chama chake ccm jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya nchi. Kama anapenda siasa aache ajira ya Polisiccm ajikite kwenye chama chake cha siasa. Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani sio siasa...
  5. M

    Jinsi dunia inavyoendeshwa

    Aisee, Ngoja nitarudi
  6. M

    Expiration of US-Russia Agreement Could Trigger Rapid, Dangerous Nuclear Arms Race, New Report Warns

    Hao wababe wa dunia wakiendelea kuwa nazo hakuna shida. Tabu itaanza magaidi wakizimiliki maana wao hawana subira. Gaidi anaweza kuamuru nchi nzima ihamie kwenye imani yake na mungu wake, mkibisha anajilipua yeye na nyie wote
  7. M

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Hakuna hoja humu, huoni 99% wanakupinga na spana juu? Ukiona mtu anaunga mkono huu ujinga ulioleta humu ujue ni mtekaji, muuaji au mchawi (maana mkataa wengi ni mchawi)
  8. M

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Mbona wewe ndio zuzu Og ? Kama hutaki kuambiwa ukweli usilete nyuzi zako za kisengerema humu, kaa nazo huko huko Lumumba kwa wauaji
  9. M

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Kwanza msikilize sheikh Ponda upate madini, huyo angalau sio mnafiki kama wengine.. https://youtube.com/shorts/Y9rOUEu0SGY?si=en0WKG0Vc_01SpOj
  10. M

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Wewe chawa wahed unaporopoka kama kigagula na mvuta bange sugu mbona huleti ushahidi wowote humu?
  11. M

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako! | JamiiForums Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!
  12. M

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Ni kinyume chake. Yeye ndo mwenye chuki binafsi, bila hivyo asingetuma wauaji kushambulia Kitima
Back
Top Bottom