Kuna faida na hasara pia ya kuweka password kwenye simu. Madhara nu kama post ya mkuu kama ilivyosemwa na faida mfano umeibiwa simu na mtu akaenda kafanya uhalifu kwa namba yako ya simu. Hapo lazima uone faida ya password
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.