Mh! Ukiyastaajabu ya Mussa utayaona.....

Mh! Ukiyastaajabu ya Mussa utayaona.....

Muhongo hakupaswa kufanya kazi nchi hii, alikosea kuacha kazi SA kuja bongo, hapa hata malaika atachafuka tu

Aliacha kazi ili kuja kuiba, unafikiri bila maslahi mazuri angerudi kufanya kazi nchini?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ukiwa muongo basi unatakiwa uwe na kumbu kumbu nzuri sana, vinginevyo ni lazima UTAUMBUKA TU!
Ni kweli kabisa kwa ulichokiandika! Lazima tu utaumbuka.

BAK.jpg
 
Akiwa Zbar alisema yeye katika serikali yake hataingiza mpinzani kabisa. Ghafla kasahau akamtea Kitila ACT kuwa katibu mkuu wa wizara ya maji
Una uhakika kitilia mkumbo ni mpinzani? Tumia ubongo kufikiri dogo usitumie makamasi.
 
Ndiyo tatizo la wenye akili finyu wachumia tumbo kama wewe siku zote hamuachi kuukimbia ukweli. Mnachojali ni matumbo yenu tu huku mkiisaliti Tanzania na Watanzania wenzenu.



Mnafiki ni wewe. Hakuna ubishi kwamba prof mhongo ni mchapakazi
 
Ukiwa muongo basi unatakiwa uwe na kumbu kumbu nzuri sana, vinginevyo ni lazima UTAUMBUKA TU!
Ukiwa hujitambui, mara kwa mara utarudia neno/ maneno/ mawazo na fikra hizo hizo - NI LAZIMA UTAITWA BWEGE
 
Huwezi kua mfuasi wa chama chakavu kma wewe sio mnafiki,mwizi,mfitini wao kula matapishi ni jadi
 
Mtaalamu wa miamba duniani una hoji angejuaje?
Awamu hii mambo hayatabiriki!!

Nape alijifanya kunda tume akatumbuliwa, watu wakadai hakuwa na mamlaka hayo!

Professor, kapiga kazi anatumbuliwa, anaulizwa ilikuwaje asiyajue hayo. Sijui anggeyajuaje bila kuunda katume!!?
 
Wale waliokuwa mawaziri kipindi cha jk wanapaswa kupisha hii kasi mikataba ndani ya ndege basi, namkumbuka ally mafuruki kama sijakosea alisema ukitaka kuonana na waziri usimsubiri ofisini tafuta safari ya dubai utakutana nao kwenye ndege zaidi ya sita ukirudi utakutana nao kumi business yako itakuwa umemaliza
 
Nilisubiri sana post yako baada ya kutoka kwa report ya uchunguzi wa mchanga. Hatimaye umeileta post yako. Sikutegemea uje kwa staili hii. Nilitegemea uje na hoja nzito za kukosoa tume na hoja nzito za kumkosoa rais kama ufanyavyo siku zote. Leo umenishangaza, sija elewa nini kimetokea kwenye kambi yenu!!!
Unafiki wa kiwango cha Phd


Nilisubiri
 
Huyu mnafiki mkubwa huwa anaongea bila kuwa kumbukumbu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Unafiki uko wapi sasa au bado hufahamu maana ya neno lenyewe? Kwani alipoongea haya ripoti ya jaji Mruma ilikuwa imeahatoka achilia mbali kuundwa hiyo tume?
Ripoti ya escrow ilishaonyesha mhongo hafai. Its mhongo again
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom