Hivi hawa porice kazi yao rasmi no IPI? Ifike kipindi hawa porice tuwatie adabu maana. hajasomea hivo wanavyo Fanya Leo na mim mtoto wangu siwezi kumpeleka porice akasome never
Hilo sio jeshi nimajambazi tuu walio jificha kwajina la police.
Chakufanya ni sisi RAIA kutowaogopa tuu ndio dawa yao tofauti na hapo wataendelea hivi hivi mpaka Yesu aje
Mungu alipo iumba dinia na kuwakabidhi Adam na Hawa Mali zote ktk dunia hii ili kuzitunza na kuzitawala.
Najambo kubwa zaidi aliwapa Uhuru wa kuchagua jema au baya.
Sasa kama Mungu muumbaji alitoa Uhuru wa kuchagua mini ufanye ktk dunia hii inakuaje serikali ya CCM inalazimisha tuikubali ktk...
Hats hivo hakuna faida ya kuendelea kuishi ktk dunia hii iliyo jaa madhambi wee dunia isha haraka nimechoka kuona magonjwa, ajari na watu wenye roho MBAYA sana.
Hili swara LA kutouza wala kununua dalili sake zilianza mwaka 1886 Kule marekani sasa naona linakalubia kuanza tene.
Asante Yesu kwa...
Ili ujue watanzania wengi ni mapopoma we uliza swari tuu LA mstakabali wa haki ya kira RAIA kuhoji mambo ya kikatiba yanayo takiwa kutekelezwa na kuheshimiwa .
Majibu utajayo pewa yanadhilisha umaskini na ufukara wa lishe na kipato vilivyo kidhili ndani ya tz
Na ccm na policeccm wanatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.